Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Duu!! Nilishapata sababu kutorudi nyumbani kwa mke wangu sababu ya kuogopa kimbunga JOBO.The good news ni kwamba kimbunga JOBO kimeisha nguvu kabisa.Picha ya kwanza ni ya jana Ijumaa saa nne asubuhi kama unavyoona kwenye picha za satellite hapo kimbunga kilikuwa na nguvu sana na picha ya pili ni ya leo Jumamosi saa tisa ya usiku na kama unavyoona kimbunga kilipungua nguvu kidogo.
Picha ya tatu ni ya leo Jumamosi saa nne asubuhi ambapo kimbunga kilipungua nguvu sana.Picha ya nne ni ya leo Jumamosi saa kumi na moja jioni hii ambapo unaweza kuona kuwa kimbunga kimeisha nguvu kabisa.Katika hizo picha unaweza kuona pia siku na muda.
1
View attachment 1762579
2
3
View attachment 1762586
4
View attachment 1762591
View attachment 1762580
Oyaah mkeka umechanika🤣Duu!! Nilishapata sababu ya kutorudi nyumbani kwa mke wangu sababu ya kuogopa kimbunga JOBO.
Duu!! Ndy basi tena mwajuma simpati tena..
🤣🤣🤣🙌Duu!! Nilishapata sababu ya kutorudi nyumbani kwa mke wangu sababu ya kuogopa kimbunga JOBO.
Duu!! Ndy basi tena mwajuma simpati tena..
Mtwara ndiyo wamekiona cha mtema kuni!Hiyo sehemu niliyoweka duara jekundu ni hali ya mvua kufikia sasa hivi jumamosi saa kumi na mbili jioni hii.Mtwara inapiga mvua na radi za kufa mtu.Inawezekana hata siku hizo tarajiwa, utakuta upepo utakuwa wa kawaida tu.
Ngoma imerudiDuu!! Nilishapata sababu ya kutorudi nyumbani kwa mke wangu sababu ya kuogopa kimbunga JOBO.
Duu!! Ndy basi tena mwajuma simpati tena..
Wakiongozwa na JafoAu kimesimangwa na Wazaramo mpaka kimeghairi
pengine kiongozi wa malaika ana ki control huko mbinguni!Ngoma imerudiView attachment 1762657
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.The good news ni kwamba kimbunga JOBO kimeisha nguvu kabisa.Picha ya kwanza ni ya jana Ijumaa saa nne asubuhi kama unavyoona kwenye picha za satellite hapo kimbunga kilikuwa na nguvu sana na picha ya pili ni ya leo Jumamosi saa tisa ya usiku na kama unavyoona kimbunga kilipungua nguvu kidogo.
Picha ya tatu ni ya leo Jumamosi saa nne asubuhi ambapo kimbunga kilipungua nguvu sana.Picha ya nne ni ya leo Jumamosi saa kumi na moja jioni hii ambapo unaweza kuona kuwa kimbunga kimeisha nguvu kabisa.
Katika hizo picha unaweza kuona pia siku na muda.
1
View attachment 1762579
2
3
View attachment 1762586
4
View attachment 1762591
Nimekupata Mkuu inamaana na Magaidi pia wananyeshewa huko CaboMtwara ndiyo wamekiona cha mtema kuni!Hiyo sehemu niliyoweka duara jekundu ni hali ya mvua kufikia sasa hivi jumamosi saa kumi na mbili jioni hii.Mtwara inapiga mvua na radi za kufa mtu.
🤣🤣🤣Nimekupata Mkuu inamaana na Magaidi pia wananyeshewa huko Cabo