Hatimae kimbunga JOBO chaisha nguvu kabisa

Mungu kafanya yake tena🙏! Asante Mungu wetu Mwema 🙏!
 
Dawa ya Kimbunga ni Kujifukiza sana tu... Japo upo wapi mbona umetuacha...
 
Mmm huku mwanza har sio swari kabsa. Uko nje naskia upepo unapita na mabat ya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…