Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks, ila kwenye diet hapo ndio kimbembeIfanye iwe lifestyle yako..usifanye tu mazoezi afu ukapungua kidogo ukarelax..utaanza upyaaa.
Pia you are what you eat,punguza kula vyakula vyenye wanga na mafuta. kula sana vyakula vya unga usiokobolewa as inacontain more fibre inayokufanya uwe full kwa muda mrefu, brown bread, brown rice, mboga mboga, matunda, maji kwa wingi. n.k.
weight loss ni 80% diet 20% exercises.
Good Luck!
Hongera mkuu, mi kwa vile ndio naanza ila I hope nitafika huko. Unajua ukianza inabidi taratibu ukianza ghafla nyingi unaweza amaka asubuhi miguu haiukunji kama ya ngongotiMimi nimekuzidi kidogo tu. Push up 50 tu mi napiga, squat 50, squat in geri 50, kata tumbo 50.
Kwenye kukimbia nimekuzidi, nakimbia masaa 2 tu.
juisa ya vitunguu saumu kwa nn uliijutia?Something is better than nothing, kwa kuanzia si mbaya ntakuwa naongeza kila siku, hapa najiandaa baada ya lisaa moja lijalo nitakuwa mzigoni
Kapiga push up 3 tu coz alikua anawahi njiani kwenda kuangalia mizigo ya maana.😛Push up ni 3 au 30 mkuu? kama ni kweli basi safari yako ni ndefu sana
Umeanza kivivu sana push up 3 na Sit up 4 huo ni mchezo mkuu mazoezi lazima ujitese na ukubali kuumia na inaonesha hutaki kujitesa weweHabari wana jamvi.
Leo nimeanza kutimiza ile adhima yangu ya kuhakikisha heshima haipotei nyumbani kwangu. Nimeanza kwa mazoezi ya kukimbia, nimepiga push up 3, sit up 4 na mzaozi mengine ya viungo. Naomba wataalam wa mazoezi wanipe maelekezo zaidi ili niwe fit kwa muda mfupi. Halafu mazoezi bana yana raha yake nimejilaumu kwanini sikuanza zamani, yaani njiani unakutana na mizigo ya kufa mtu halafu imevaa taiti tu. Yaani nimesafisha macho achilia mbali kujenga mwili na nahidi sitoacha kufanya mazoezi, kumbe watu wanafaidi halafu hata hatuambiani tunaambiana mambo ya kitapeli tu.
Halafu leo nimepita eneo moja nimekuta tangazo wanauza juisi ya mbakola, mwenye uelewa nahii juisi anipe maelekezo, maana mi mtaalam wa kuonja onja, ila siku hizi nimeacha baada y kuingia mkenge kuonja juisi ya kitunguu swaumu, nilijuta siku hiyo nikasikitikia hela yangu