PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Mkuu ndo mitaa ya wapi hiyo?Tuma kapicha ukiwa Yonge street au Dundas street
Yonge ndio mtaa mrefu kuliko yote central TorontoMkuu ndo mitaa ya wapi hiyo?
umejuaje? japo mshahara wake ni sawa na Waziri TZDaah mambo ya kubeba box sio...πππ
Toronto is a beautifull city trust meWhat is the big deal kuwa Canada!!??
inaonyesha ulikuwa na maisha ya tabu sana Bongo......
Ni kawaida sana
Mshahara gani wa kubeba box unafanana na wa waziri?umejuaje? japo mshahara wake ni sawa na Waziri TZ
Matapeli siku hizi wanaanzia mbali. Watu wa aina hii inatakiwa uwatilie shaka mpaka utakapothibitisha vingine.What is the big deal kuwa Canada!!??
inaonyesha ulikuwa na maisha ya tabu sana Bongo......
Ni kawaida sana
Kweli kabisa. Huyu atakuwa tapeliMatapeli siku hizi wanaanzia mbali. Watu wa aina hii inatakiwa uwatilie shaka mpaka utakapothibitisha vingine.
Waziri wa Tz analipwa bei gani?Mshahara gani wa kubeba box unafanana na wa waziri?
Kama kijana jitahidi ufike na kuishi nchi zilizoendelea angalau hata mwaka mmoja. Kuna kitu utakipata kitakusaidia maishani kwako.
USA,UK,CANADA,GERMANY,SWEDEN,AUSTRALIA ETC
Kuliko kwenda Burundi tulikoelekezwa, Bora akabebe box Canada, maana hii Tozonia sio kabisa.Daah mambo ya kubeba box sio...πππ
Kama kijana jitahidi ufike na kuishi nchi zilizoendelea angalau hata mwaka mmoja. Kuna kitu utakipata kitakusaidia maishani kwako.
USA,UK,CANADA,GERMANY,SWEDEN,AUSTRALIA ETC
Sio kama huna macho bora kusepa,sisi ngoja tubanane fursa na wachina tutakuja holiday huko kutosha machoKuliko kwenda Burundi tulikoelekezwa, Bora akabebe box Canada, maana hii Tozonia sio kabisa.
Kama kijana jitahidi ufike na kuishi nchi zilizoendelea angalau hata mwaka mmoja. Kuna kitu utakipata kitakusaidia maishani kwako.
USA,UK,CANADA,GERMANY,SWEDEN,AUSTRALIA ETC
Mwamba umeongea kinyonge sana hapa i can feel it πUkishakaa vizuri ututumie mialiko sasa nasisi tuje huko, usjie ukawa kama hawa ambao wanatudharau tu
Unalinganisha kubeba box na mshahara tena wa waziri wa tz anayekula kwa urefu wa kamba yake πumejuaje? japo mshahara wake ni sawa na Waziri TZ