Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Aha ha ha Alina just bado wamelala
Usidanganyike kirahisi na hizo hadaa..wameshafanya karibia kila kitu kinachowapa hadhi ya kutambulika kama nchi
ChanzoImekuwaje huu uzi upo jukwaa la ajira wakata pointi sio mambo ya ajira?
Majeshi yao ni KMKM, ni kama PCCB ya huku. Actually hapo kwenye majeshi ndipo panapowakwamisha, maana hawawezi kuleta za kuletaUsidanganyike kirahisi na hizo hadaa..wameshafanya karibia kila kitu kinachowapa hadhi ya kutambulika kama nchi
Rais
Bunge
Majeshi
Mipaka
Bendera
Wimbo wa taifa
Mipaka
Bado segment moja tu nyembamba sana SIASA
Zanzibar Kuna ZAECA Ambayo Inafanya Kazi Kama PCCBMajeshi yao ni KMKM, ni kama PCCB ya huku. Actually hapo kwenye majeshi ndipo panapowakwamisha, maana hawawezi kuleta za kuleta
Na kuna kikosi cha kvzZanzibar Kuna ZAECA Ambayo Inafanya Kazi Kama PCCB
Kule Kuna JKU Ambayo Ndiyo JKT Huku
KMKM
VIKOSI VYA SMZ