Hatimae leo wamekubali kwamba zanzibar ni mkoa

Hatimae leo wamekubali kwamba zanzibar ni mkoa

Wagumu Tunadumu

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2022
Posts
5,276
Reaction score
17,354
FB_IMG_1736623096696.jpg
 
Imekuwaje huu uzi upo jukwaa la ajira wakata pointi sio mambo ya ajira?
 
Usidanganyike kirahisi na hizo hadaa..wameshafanya karibia kila kitu kinachowapa hadhi ya kutambulika kama nchi
Rais
Bunge
Majeshi
Mipaka
Bendera
Wimbo wa taifa
Mipaka
Bado segment moja tu nyembamba sana SIASA
Majeshi yao ni KMKM, ni kama PCCB ya huku. Actually hapo kwenye majeshi ndipo panapowakwamisha, maana hawawezi kuleta za kuleta
 
Majeshi yao ni KMKM, ni kama PCCB ya huku. Actually hapo kwenye majeshi ndipo panapowakwamisha, maana hawawezi kuleta za kuleta
Zanzibar Kuna ZAECA Ambayo Inafanya Kazi Kama PCCB

Kule Kuna JKU Ambayo Ndiyo JKT Huku
KMKM
VIKOSI VYA SMZ
 
Back
Top Bottom