Hatimae Madame B kaikana Dar Wing......

Hatimae Madame B kaikana Dar Wing......

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,852
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....
 
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....
Aaah wapi? Weka picha bana.
 
Mimi nawafuatilia hapo mlipo ila ukiukana U Chuga usirudi na yoyote atakeyejaribu kufanya hivyo. Arushaone wakilisha ipasavyo hapo ulipo.
 
Last edited by a moderator:
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....

wapi Chimbuvu
 
Last edited by a moderator:
Jamani TANGA acheni iitwe TANGA kwani ni TANGA kweli! Anayebisha afungiwe jiwe la tani moja atupwe kwenye kina kirefu baharini manina na robo tatu zake abishaye!
 
Haaaa.....hv kumbe JF HQ Chugga tuna mvuto.....kuna hatari ya ndoa za watu kuvunjika hapa....hivi Madame B kapatwa na nini...? ni PJ kamzuzua au Arushaone.....? ki ufupi Tanga kunawaka moto wa bolingo motema na ngai.....
Tena mkituondolea huyu Madame B hapa mjini mtakuwa mmetusaidia sana. Ila mjihadhari kama hakuna supu ya pweza wala madafu huko mjue mtakosa mwana na maji ya moto. Mtoto kashindikana mpaka kwa babu yake.:becky::becky::becky:
 
Last edited by a moderator:
hizi tour zina mengi na hayo mengi tunasubiri kuyasikia kutoka kwenu mlioko huko.
NB:Hatutaki kusikia fulani alilewa akavaa pichu kichwani,fulani amegonganisha wakatwangana chupa and other evil stuffs,Otherwise Almighty God be with you all.
 
Back
Top Bottom