Hatimae Metacha Mnata aomba Msamaha kwa Yanga na wadau wa Soka kwa Ujumla

kwa kosa gani?nimekuwa provoked siwezi kuomba msamaha,kabla mimi sijatumia busara walipaswa kutumia wao kwa kutonizomea
Mhusika tayari ameshaomba msamaha! Na huo ndiyo uungwana katika michezo. Sasa wewe mshabiki wa mbumbumbu fc, ndiyo umeandika nini hiki!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…