Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mhusika tayari ameshaomba msamaha! Na huo ndiyo uungwana katika michezo. Sasa wewe mshabiki wa mbumbumbu fc, ndiyo umeandika nini hiki!!!kwa kosa gani?nimekuwa provoked siwezi kuomba msamaha,kabla mimi sijatumia busara walipaswa kutumia wao kwa kutonizomea