Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Vumilien hata watu wa kilimo wako zaid ya miaka miwili kitaa. Mungu yu pamoja nanyi
 
Inaumiza xn ila kwel jaman ndugu zangu 2nateswa na tunaumizwa kisaikolojia vyombo vya habari vipo kwa nini tuctangaziwe rasmi?????hata kama kwel serikal haina hela iweke mambo bayana tutaridhika tu ila kilichobak ni cc kujishughulisha na mambo mengne 2kitegemea hii serikal 2takufa tukiwa tumesimama.....wenye vyao watubana jaman......
 
Bilioni 480 zimeibwa hazina ndo mana hawatangaz ajira mambo ya bongo hayo
 

inaumiza sana dada'angu wanajifanya miungu watu ila naamin 1 day wataumbuka.
 
Yap kwel bt 2tafuten ishu nyngne za kufanya pia 2peane mbinu mbadala za kujikomboa kimaisha tofaut na kusubiria ajira ambazo hatujui ztatoka lini ...nashndwa kuelewa ni kwamba malalamiko yetu hayafk sehem husika au? Au hatujajua sehem husika ya kutoa maoni yetu???????????????????
 
Hela!! Hela!! Wallah mwakani lazima nikapige kura mara 2!!

ha!ha!ha!ha! utakamatwa kaka! cha msingi we mwalimu shawishi watu wengi zaidi ili wakichukie chama sikivu!,ili 2015 wajue kuwa waalimu si watu wa kuchukuliwa poa!
 
Walimu wenzangu ukweli nawaombeni 2015 tuchukue hatua tukipumzishe hiki chama cha magamba ccm tumechoka kudharaulika
 
ha!ha!ha!ha! utakamatwa kaka! cha msingi we mwalimu shawishi watu wengi zaidi ili wakichukie chama sikivu!,ili 2015 wajue kuwa waalimu si watu wa kuchukuliwa poa!

Mkishauriana Hivyo Hamtapewa Ajira.
 
Mi Nishauri Maombi Yetu Tuyapeleke Kwa Mungu Sasa..Maana Nahis Viongozi Hawapiti Huku Jf.
 
Msiwe na haraka ndugu waalimu,,,, soon az pocbo tutawaajir kuanzia mwezi april.kwa sasa serikal haina mpunga... tunaomba mjiajiri wenyewe
 
watoto wao wanasoma private schools za ndani na nje ya nchi. Watoto wa watanzania maskini wanasoma kwenye shule zinazoitwa "za kata" (St. Kayumba). Hawajali hata kidogo, mi sioni haja ya watu kusubiri zaidi ya miezi 6 ili waajiriwe, ilhali kuna uhitaji mkubwa wa wafanyakazi.
 
Tuna uhaba wa walimu wa sayansi tu,nyie walimu wa masomo ya kuimba mashairi na ngonjera inabidi mjiandae kisaikolojia,maana mwaka huu hatutawaajiri.over
 
Walimu wenzangu ukweli nawaombeni 2015 tuchukue hatua tukipumzishe hiki chama cha magamba ccm tumechoka kudharaulika


Kudharaulika kivipi? yaani nyie mnaoajiriwa bila kufanyiwa usaili mnalalama mnadhalilishwa? Je wenzenu wanaozunguka na bahasha miaka 4 bila ajira wasemeje?? hebu kueni na subira acheni kusikiliza porojo,ajira za walimu hata mwaka jana zilikua ni mwez mach km sikosei,hivyo huenda wiki ijayo post zikatoka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…