Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Seriksli haina pesa. Pesa yote imepelekwa Bunge la katiba. Kuweni wapole.

usiropoke mkuu kwa taarifa ambazo hauna uhakika nazo,Fedha zote za mchakato wa katiba zilishapangwa katika bunge la bajeti lililopita,kusema fedha zimekwenda huko hakuna ukweli wowote
 
usiropoke mkuu kwa taarifa ambazo hauna uhakika nazo,Fedha zote za mchakato wa katiba zilishapangwa katika bunge la bajeti lililopita,kusema fedha zimekwenda huko hakuna ukweli wowote

Endeleeni kusubiri ndio utajua nilikuwa na ropoka au wewe ndio unaropoka...... Usibaki una unasubiri mlango mmoja ufunguliwe wakati kuna milango mingine wazi..... Ni mtizamo tu
 
Endeleeni kusubiri ndio utajua nilikuwa na ropoka au wewe ndio unaropoka...... Usibaki una unasubiri mlango mmoja ufunguliwe wakati kuna milango mingine wazi..... Ni mtizamo tu

mbona unasemea nyoyo za watu? una uhakika gani kama hao wanasubiria ajira hizo pekee? busiest man find the most time!
 
Back
Top Bottom