Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

hivi ujui kama april mosi ni april fool? Siku ya wajinga? Take it from me kama ulikua umejisahahulisha

Wengi wamesahau hii sikukuu, halafu zikitoka hiyo siku kuna mawili.

1. Walimu kuonekana ni sikukuu yao ( wajinga) na wamepewa zawadi.

2. Walimu kuonekana wanaenda kuelimisha wajinga.

Binafsi zikitolewa ajira siku hiyo sita fundisha mwezi mzima maana nidharau.
 
duh! nimeziona mwana! nashukuru sana but mi nmetupwa KITAAOLOJY SCHOOL OF HUSTLERZ.aisee nashukuru sana.
 
nyie walimu mbona mna matatizo hivi?

mbona mwalimu mzima unatoa thread yenye heading tofauti? hivi unawaza nini?

au ndo kuvutia wasomaji? aisee mbadilike nyie walimu wapya!

kama kuajiriwa, mtaajiriwa! au kama serikali ikigoma kuwaajiri, hilo pia linawezekana!

so acheni kututia presha bana...
 
nyie walimu mbona mna matatizo hivi?

mbona mwalimu mzima unatoa thread yenye heading tofauti? hivi unawaza nini?

au ndo kuvutia wasomaji? aisee mbadilike nyie walimu wapya!

kama kuajiriwa, mtaajiriwa! au kama serikali ikigoma kuwaajiri, hilo pia linawezekana!

so acheni kututia presha bana...

well said
 
hii ndo tz yetu ukickia viongoz mizigo ni hapa tu kwingne wanaiga!.Jaman hata huyu mama tayar kashaanza kupoteza dira?angeulizwa kirefu cha BRN angechemka.Majembe mcfe moyo kaz ni nying za kufanya mctegemee ajira!

Tanzania ina miliki viongozi wenye utindio wa ubongo kuna haja sasa tunapowachagua viongozi wa kisiasa daktari kushilikishwa kwa vipimo zaidi uwezi toa taarifa yenye ukweli sahihi bila kuwasiliana kama viongozi walisema ajira january kwa mujibu kassim majaliwa akaja rais wa nchi jk akasema mwanzoni mwa mwaka 2014 kupitia hotuba yake ya kufunga mwaka akaja aliyekuwa naibu waziri philipo mlugo akasema februally mosi mbaka march na leo tunasikia naibu waziri jenista akisema april moja which kind of stupid Tanzanian leader they have wanadanganya umma wenye wazee wenye hekima zao na wanaojua umuhimu wa elimu na elimu bila mwalimu hakuna wanajitapa kwenye media ati BRN toka lini BRN bila walimu MWISHO LAYI YANGU KWA SERIKALI NAIPA SIKU 40 ITOE AJIRA KWA WALIMU TARAJALI ILI KUINUSURU NCHI KWENYE MAANDAMANO NA KWA MSITAKABALI WA AMANI YA NCHI NA PIA KWA SERIKALI YA MH RAIS JAKAYA KIKWETE AMBAYE AMEPEWA MAMLAKA NA UMMA KUWA NA NGUVU KULIOKOA TAIFA.
 
Nikesho tar:20/ 02 /2014.
Baada ya hapo nafata Transcript yangu chuo na kuanza safari ya kuelekea Botswana ili niiache nchi yangu ifanye siasa kwanza.
 
Nakuunga mkono maana hawa jamaa wanajali tu mambo yao,sahz wanafurahia hzo 300000 za katiba,na kusahau kila kitu,sijui nchi hii inaenda wapi,Mh.Rais ingilia kati.
 
Nikesho tar:20/ 02 /2014.
Baada ya hapo nafata Transcript yangu chuo na kuanza safari ya kuelekea Botswana ili niiache nchi yangu ifanye siasa kwanza.
 
Seriksli haina pesa. Pesa yote imepelekwa Bunge la katiba. Kuweni wapole.
 
msituchezee walimu sie ndo tutakuwa walimu wa watoto wenu
 
Back
Top Bottom