Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Habari za uhakika na kuaminika kutoka wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, ni kuwa ajira za walimu zitakuwa hewani ndani ya wiki moja ijayo, ikiwa na maana kuwa tarehe 24/02/2014, kila kitu kitakuwa hewani, na itawapasa na kuwalazimu walimu wapya kuripoti katika vituo vyao vya kazi ndani ya wiki moja, 1/03/2014.
 
Swala la kwenda bush haliepukiki kwani shule zipo na zinahitaji walimu
cha muhimu ni atleast kutuboreshea mazingira na wa kufanya hayo ndo ha yupoha yupo

.wajua nini E.S nadhani umefika wakati wa kuanza kutazama soko la ajira kwa taaluma hii ya ualimu nje ya hii Tanganyika, manake naona hii nchi wanaifaidi watu sana wa afya na kilimo, hizi fani zingine dah unaweza ota sugu kusubiri hadi mwishowe ukasahau kwamba ushawahi pita elimu ya chuo..( ha ha ha ha ha aha hahahaaaaaaaaaaaaaaaa ngoja nicheke tena eti "ULIPAUKA" hapo tu afya yangu imeimarika kwa kicheko)
 
Habar za kuaminika na nani au wewe? Achen kuwapa watu presha hayo ni maisha ya watu.
 
.wajua nini E.S nadhani umefika wakati wa kuanza kutazama soko la ajira kwa taaluma hii ya ualimu nje ya hii Tanganyika, manake naona hii nchi wanaifaidi watu sana wa afya na kilimo, hizi fani zingine dah unaweza ota sugu kusubiri hadi mwishowe ukasahau kwamba ushawahi pita elimu ya chuo..( ha ha ha ha ha aha hahahaaaaaaaaaaaaaaaa ngoja nicheke tena eti "ULIPAUKA" hapo tu afya yangu imeimarika kwa kicheko)

Nilipauka si utani, nkaenda jf doctor kuomba ushauri juu ya ngozi angu make ilikuwa kama gome la mti
scrub zimedunda, ngozi haisikii glycerin wala lotion yani miguu ilitengeneza contour acha tu
sahivi akuuuu nshazisahau shida nakula raha tu hapa manispaa
 
Habari za uhakika na kuaminika kutoka wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, ni kuwa ajira za walimu zitakuwa hewani ndani ya wiki moja ijayo, ikiwa na maana kuwa tarehe 24/02/2014, kila kitu kitakuwa hewani, na itawapasa na kuwalazimu walimu wapya kuripoti katika vituo vyao vya kazi ndani ya wiki moja, 1/03/2014.

source za habari ziko umezitoa wapi? acha kupost ufala wewe unawarusha watu kwakuandika ujinga wewe ni mbulura tu, ms....nge?
 
Nilipauka si utani, nkaenda jf doctor kuomba ushauri juu ya ngozi angu make ilikuwa kama gome la mti
scrub zimedunda, ngozi haisikii glycerin wala lotion yani miguu ilitengeneza contour acha tu
sahivi akuuuu nshazisahau shida nakula raha tu hapa manispaa


.aisee itabidi ufidie gharama zote ulizotumia kurejea hali ya awali, hapa napata wasiwasi kama wadogo zangu wataweza kweli kwenda BUSH?, watoto wamezaliwa na kukulia jijini tena shule za kisasa,leo hii umpeleke mahala ambapo miguu inatenegeza contour, ngozi ka gome la mti, duh sijui..hujazungumza kuhusu nywele, vipi ulinyoa upara ama mafuta yalipatikana hata mara mojamoja kwa mwezi?
 
source za habari ziko umezitoa wapi? acha kupost ufala wewe unawarusha watu kwakuandika ujinga wewe ni mbulura tu, ms....nge?
Kweli teacher ?
Angalia usijidanganye mwenyewe mwalimu,
Mm nina Bachelor of sociology toka mwaka juzi bado nina apply
 
Habari za uhakika na kuaminika kutoka wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, ni kuwa ajira za walimu zitakuwa hewani ndani ya wiki moja ijayo, ikiwa na maana kuwa tarehe 24/02/2014, kila kitu kitakuwa hewani, na itawapasa na kuwalazimu walimu wapya kuripoti katika vituo vyao vya kazi ndani ya wiki moja, 1/03/2014.

lisemwalo lipo na mm nimezisikia taarifa kama hizi leo asubuhi.
 
nyie jeni kaenda iringa analialia mbele ya wakuu wa shule kuwa omba radhi wavumilie had april moja, alaf mnajiriwaza hapa! LABDA KAMA BABA MWENYE NYUMBA AMERUD NA FUNGU KUTOKA UK HIYO JUZ KATI, AU LA KAMA WAMEFANIKIWA KUUZA LILE SHEHENA LA MENO YA TEMBO YALO KAMATWA, vingnevyo mungu awajalie walm roho ya uvumiliv
 
Haijalish itakuwa muda gani ila zitatoka 2, pia ningependa kutoa ushaur kwa xaxa tuache kupoxt tena masuala ya ajira mpya za walimu hum JF kwan hakuna hata kiongoz mmoja wa GVT upande wa elimu anayepitia huku so kama maoni yetu hayafiki sehem tajwa
 
Willy lyatuu, unaumwaaa?? unaumwaaa?? wengine huku hakukufaaeni nenda FB pia haohao unaowahadaa leo utaumbuka muda c mrefu na afadhar wenzio wanamwelekeo kwamba mara baada ya siku chache/wiki chache watakuwa kwenye kitengo maalum,kaz itakuwa kwako
 
isitoshe ye ndo mwalimu wa kiswahili mtarajiwa... duh wadogo zetu wana kazi.
 
Back
Top Bottom