Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

Pokea like mtu wangu,hiyo tarehe inatazamiwa na wengi.
 
Ajira za walim zmekua kama wimbo wa taifa jaman?????????ni haki jaman?????????



Ndio matatizo katika nchi ambazo vipaumbele kwao sio issue tena!! Tokea tar. 23 January mpaka leo fungu halijapatikana.!??? Tunakoelekea, hili litakuwa janga la kitaifa.
 
Nilikuwa najiuliza ni kwanini baadhi ya waalimu wameamua kununua bodaboda?kumbe wamepangwa porini na kuna shida ya usafiri,wamechukua mikopo wanapiga hiyo kitu,mwisho wa mwezi wanamkatia mkuu wa shule kama 30,000 hivi na maisha yanakwenda mbele.KUMBE UALIMU UMEKUWA KAMA STEP---NG- STONE.KWA MTINDO HUO WAALIMU HAWATATOSHA ILA WATAZIDI KUPUNGUA.
 
Pokea like kwa sahihi hii It takes a real man to make a woman satisfied......kwa kiswahili ni ?
 
Hili swala la ajira na waalimu linavyosemewa ni kama vile katuni ya tom na jerry,kwa sababu watakao cheka ni wengine na watakao lia ni wengine,kinachoumiza ni kuwa unasubiri kwa matumaini makubwa alafu mwisho wa siku jina halimo na hukuingia mkataba na ile shule waliokuwa wana kuhitaji sana,na hapo ndio utakuwa wakati wa wao kuringa.
 
sitimbi ndo mpango wa serikali wa sasa, kwa hiyo walimu mjiandae mapema huko kupangiwa
 
walimu wa tanzania wamekua waoga sana. eti watafukuzwa kazi hii c kweli.
 
du hii kali cha msingi ni kusubili tu walimu................lkn c waseme tu kama ajira hakuna tuelewe moja
 
Kama hivo pouwa, nilitupwa vichakani mie sitapasahau
nimkunywa maji ya kisima nikapauka jamani mweh

duh hapo pa kupauka pamenifanya nicheke sana, lakini poleni sana walimu na hii kiu ya kapata ajira, kwakweli bila uwepo wenu ni muhimu sana hasa wakati huu maana taifa hili linaelekea kubaya, nawatambueni kama NGUZO muhimu sana kwa maendeleo ya wengi. Lakini kwa baadhi ya comments ambazo zimepita juu zaonesha kuna baadhi yenu mnachangaya taaluma yenu na siasa, jamani miaka mitatu mliyosoma ni mingi sana na BAED(biology, kiswahili, history na nyinginezo) sio kozi ya kitoto najua ninyi ndo huwa mwasoma mambo mengi sana, lakini hivi hakuna vyama/taasisi ambazo ziliundwa kwa ajiri ya kutazama mwenendo mzima wa taaluma hii ya ualimu?, na kama zipo je hao viongozi wamesema nini?..naamini ipo sehemu ya kuanzia na sio kuwaruhusu hawa CCM, CHADEMA, CUF, TLP n.k kumbuka "NO ONE ELSE CAN DETERMINE YOUR FUTURE BUT YOU"-Bill winston
 
duh hapo pa kupauka pamenifanya nicheke sana, lakini poleni sana walimu na hii kiu ya kapata ajira, kwakweli bila uwepo wenu ni muhimu sana hasa wakati huu maana taifa hili linaelekea kubaya, nawatambueni kama NGUZO muhimu sana kwa maendeleo ya wengi. Lakini kwa baadhi ya comments ambazo zimepita juu zaonesha kuna baadhi yenu mnachangaya taaluma yenu na siasa, jamani miaka mitatu mliyosoma ni mingi sana na BAED(biology, kiswahili, history na nyinginezo) sio kozi ya kitoto najua ninyi ndo huwa mwasoma mambo mengi sana, lakini hivi hakuna vyama/taasisi ambazo ziliundwa kwa ajiri ya kutazama mwenendo mzima wa taaluma hii ya ualimu?, na kama zipo je hao viongozi wamesema nini?..naamini ipo sehemu ya kuanzia na sio kuwaruhusu hawa CCM, CHADEMA, CUF, TLP n.k kumbuka "NO ONE ELSE CAN DETERMINE YOUR FUTURE BUT YOU"-Bill winston

Swala la kwenda bush haliepukiki kwani shule zipo na zinahitaji walimu
cha muhimu ni atleast kutuboreshea mazingira na wa kufanya hayo ndo ha yupoha yupo
 
Back
Top Bottom