ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohammed Dewji ameitimiza ahadi yake ya kuwakabidhi wachezaji na viongozi wa benchi la ufundi pikipiki aina ya Boxer, simu ndogo pamoja na Rice Cooker.
Mo Dewji alitoa ahadi ya kuwapa bodaboda wachezaji wote wa Simba baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Waliokabidhiwa zawadi hizo ni wachezaji wote na viongozi wote wa benchi la ufundi walikuwepo kwenye timu hiyo msimu uliopita.
Mo Dewji alitoa ahadi ya kuwapa bodaboda wachezaji wote wa Simba baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Waliokabidhiwa zawadi hizo ni wachezaji wote na viongozi wote wa benchi la ufundi walikuwepo kwenye timu hiyo msimu uliopita.