muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Umetisha mjumbe...hongera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunya juu ya sofa halafu zitoe nje uzisafishe na kuzianika kutokea hapo watajua nawe unamiliki sofa mpya.Me bado nimepanga ila juzi nimenunua sofa kali nifanyeje ili majirani wajuee[emoji12][emoji12]
hhahahaha mkuu acha kabisa maisha na mzikiKuna jamaa yangu alikua anakaa uswahilini nyumba ya udongo ila ina umeme Sasa akanunua mziki mkubwa kinyama akawa akipiga mziki ile mikito ya nguvu had udongo wa juu unadondoka mwenye nyumba alimtimua na radio yake[emoji3]
shkrani mkuu hawa watoto wanamajungu kindeziAcha watu wafrahi maisha yenyewe mafupi
daah mkuu coment yako imenitia nguvu na ujasiri nimejiona ni mtu mpya ahsante sana mkuu wewe ni mzungu wa roho hauna usokorokwinyo watu wanadhani kufanikiwa lazima umiliki mabilioni na hawajui kuwa kuna wengine tunafurahi tu hata kujenga nyumba ya tope maana tunaona tulipo ni nafuu kuliko tulipotoka acha tuenjoyHongera sana Mkuu kufanikiwa kufikia maisha ya ndoto zako. Raha jippe mwenyewe hii dunia, hapa mimi nilipo wkend kama ya leo ni mwendo wa Rhumba kali zoooote na kinywaji unazozijua wewe na Kinywaji bariiiiiiiiiiidi mpaka nafsi inasema YES! Kuishi Kijijini raha sana
Hongera mdogo wangu kuna watu wanaamini ili ufurahi lazima umiliki mamilion ya hela na hawajui kuwa kila mtu hufurahia alichonacho kwa kurejerea alipotoka na alipo na ndio inatupa ari ya kupambana zaidi hongera sana mkuuMe bado nimepanga ila juzi nimenunua sofa kali nifanyeje ili majirani wajuee[emoji12][emoji12]
duuh mkuu hata ningepanga magogo bado furaha yangu iko palepale maana kila mtu anafurahia kulingana na alipotoka sio alichonacho ingetokea familia yangu ilikuwa inamiliki nyumba alafu mimi niapnge tofari ningekuwa wa ajabu sana ila kama nilipotoka na nilipo kuna unafuu no matter ni nini lazima nifurahi na niamini inawezekana hata kufikia huko wao walipoUmejenga Nyumba au Umepanga tofali?
Ndio mkuu mimi ni mtu mbaya sana ila napenda mziki mneneAvatar Yako tu inaonesha jinsi ulivyo hongera Sana fanya unachopenda
dore mkuuHahahahaha hapo kuamka kukaza mkanda nimecheka sana
mie napenda kaa mwenyewe ndo sababu kubwa itanifanya kujenga
kweli mkuu hapa naona umeinyaka vilivyo najipongeza kwa hili pia maana kumsimlia mtu akaelewa kama ulivyoelewa ni kipaji ndio hivyo hivyo na ninadhani ndio ilikuwa sababu ya kuviondoa sokonTule tumikanda walisema tunapunguza nguvu za kiume sababu ya sumaku.
Hapa nawaza kufunga sound proofAngalia usipigane na majirani mtaalamu.
Pancho ndugu yangu tatizo shule kubwa nayo tatizo mimi hapa nazungumzia mziki mkuu sio hiyo literal meaning bossMtu akiwa mgeni jf anaweza dhani kinachoongelewa hapa ni muziki kweli.