Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Ni vile tu wanawake wengi wa kiTanzania hawajielewi(ikiwemo hiyo mishangazi),mbona nina jamaa zangu wameoa mishangazi ya kiarabu na imewakuta na watoto mpaka sasa wanasavaivu!??
Kizazi cha bongo asilimia kubwa ni shiddah.
Asa kwa idadi ya wanaume alojihusisha nao huyo Shilole si atakuwa bwawa la JNHPP Rufiji?
Maana itawa kusex naye kheri upige nyeto.
 
Kwamba yeye ni marioo mstaafu?
 
Halafu kuna pimbi MMOYA anakwambia age is just a number

Japo inasemekana huyo Rommy 3D wanalingana umri lakini kuna namna Shilole kamzidi
Kwa wanawake wa mambele wanaojielewa na kutambua nafasi yao kama wanawake katika jamii pasi na kujalisha umri,cheo ama pesa,age is just a number.
Ila kwa ninyi wanawake wa TZ ambao 80% magulumbesa ooohoohoooo ni matatizo.
 
Haya Madubwana yana Watu wao permanent (wazee) so Wakiitajika ata kama upo nao 6 kwa 6- Atakuacha na kwenda hitikia wito. Uchebe alikuwa anaachiwa Nyumba na Watoto ata 3 Days! Lishangazi linatumika huko na kupinduliwa pinduliwa kama Sato...Uchebe akachoka akaamuwa kuachana nalo baada ya kuona ata Kichapo anachompa Bibie ajali wala asikii, Iyobo nae kwa Aunty Ezekiel alikuwa anapigaa wee wapi akalala mbele. Nuu Mzuwanda alikuwa anapigwa yeye mpaka akaona isiwe tabu akalala mbele na ndo akatunga Wimbo ule unaitwa JIKE SHUPA.....Dogo Wozu kwa Madame-yeye ni on/off kila kukicha! Ee Mungu hokoa kizazi hiki🙏
 
Ujenzi wa taifa unaendelea.huyo kijana akimaliza mwingine atajitokeza kuendeleza gurudumu.lakini shilole anatako zuri sana.linafaa kupetiwa petiwa na vijana kama sisi na siyo wazee
Uzuri wa gari injini, hadaikeni na makalio sisi wajanja tunakula vitumbua, kila timu ishinde mechi zake.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Alilogwaa huyuu
 
[emoji1787]
 
Jamaa mstaarabu sana,kaandika maneno ya hekima sana👍
 
Mbona unachoongea na uhalisia ni mambo mawili tofauti?
Kwa mimi naweza sema za wakristo ndio zinaa nyingi.
Mnadai ndoa imefungwa mbinguni haivunjiki,mnagombana kiasi mnachokana kuachana hamuwezi,mwishowe kila mmoja anatafuta danga nje anazini mpaka kuzaa watoto nje.
Hiyo ndoa ama ujinga??
Uislam kuepusha haya yote wameeka talaka,ukiona maelewano hakuna sai au toa talaka kuepusha madhara makubwa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…