Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Hatimae ndoa ya Shilole na Rommy3D yavunjika rasmi

Ni vile tu wanawake wengi wa kiTanzania hawajielewi(ikiwemo hiyo mishangazi),mbona nina jamaa zangu wameoa mishangazi ya kiarabu na imewakuta na watoto mpaka sasa wanasavaivu!??
Kizazi cha bongo asilimia kubwa ni shiddah.
Asa kwa idadi ya wanaume alojihusisha nao huyo Shilole si atakuwa bwawa la JNHPP Rufiji?
Maana itawa kusex naye kheri upige nyeto.
😀 😀 😀 na miuchi ya wanawake wanene inavokuaga sasa aisee ni hatari sana hii midude
 
Nimemkumbuka NUHU MZIWANDA alikuaga anadundwa na shishi..

Shishi anaenda kudanga na wanaume wengine NUHU MZIWANDA akiuliza anapigwa kibesi anaambiwa si unakula unavaa unaoga UNAZANI PESA ZINATOKA WAPI..

all in all
Shishi hawezi kumpata mwanaume gentleman mfano Mimi hata ukiwa na pesa huwezi nipelekesha Kama gari bovu for sure MWANAUME ndani ya nyumba lazima ajulikane
 
😆😆😆🙈🙈🙈Astagafirulahi.
Mshangazi mie nimezungumzia umri sio mwili.
Ila kwa huyo shishi hapo Bwawa la Nyerere mazeeh.
😅😅😅😅 msiba mbona nishakua na mshangazi huo aisee ilifika time hisia zilikata ilikua ni bora nijichukulie sheria mkononi ila sio kulibandua aisee ni kero sana hii mi dude yenye miili mikubwa afu liwe halijielewi linagawa tu uchi siku likikupa huo msimi ka tambala la kupigia deki toilet 🕳️🕳️
 
Hello 👋
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Rommy3D amethibitisha kuachana rasmi na Shilole baada ya video na picha zinazoendelea kusambaa mitandaoni zikimwonyesha Shilole akiwa na dogodogo mwingine.

Kungekuwa na timu ya mpira;
Kocha mkuu- Haji Manara
Kocha wa Viungo- Dida Shaibu
Kocha wa Makipa- Esma
Kocha Msaidizi- Shilole na Dula Makabila

My take: Vijana muache kulelewa mtafute wanawake wa size zenu.

View attachment 3001773
Shilole aache tabia ya kutafuta ving'asti.

Atafute mwanaume aliyemzidi kipato aolewe.
 
"Naona tumefikia mwisho na si vibaya nikakubali matokeo na kumpisha kijana mwenzangu aendeleze gurudumu hili"
#Mstaafu

Mwamba kastaafu kwa moyo mkunjufu hajataka kuongeza muda apewe maua yake nasubiri kuona kijana aliepokea gurudumu kama atastaafu kwa amani punde mwisho wa utumishi wake utakapo wadia.
All the best 3D #Mstaafu.
 
Kwa hiyo kuna mwamba mwengine anaendeleza project, kamwachia mwenzake aendeleze gurudumu,so Shishi ashakuwa Gurudumu sio Mshangazi tena.

Hapo ndipo ujue Uchebe alikuwa yupo sawa.Nawaonea huruma vijana wanaodate na mishangazi kwani huja kudhalilika na poteza ile hazi ya kiuwanaume.

Ila uzuri hainaga Makombo acha kijana mwengine aendeleze gurumu,maana Shilole amekuwa kama project.
hazi=hadhi
 
Back
Top Bottom