Hatimae nimefika Kijiji cha mpale korogwe tanga.

Hatimae nimefika Kijiji cha mpale korogwe tanga.

Jkl

Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
50
Reaction score
59
Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
 
Tuwekee na kapicha tafadhali kakusindikizia vionjo vyako
 
Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Ukipata bint wa Kisambaa kuhama utasahu.
 
Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Vipi totozi huko?
 
Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Tafuta demu akupoze machungu
 
Ni ajira ya serikali iliyokupeleka huko ama?
 
Hivi mnavyoomba connection kwa watu msiowajua,huwa mko serious kabisa?
 
Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Na bado usikute wananchi wa huko wanaililia CCM
 
Back
Top Bottom