Ukipata bint wa Kisambaa kuhama utasahu.Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Vipi totozi huko?Kijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Kijiji chote ni wanaume na wazee tu? Ondoka haraka hapoSijaona mkuu , kwanza naogopa kulogwa
Tafuta demu akupoze machunguKijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.
Na bado usikute wananchi wa huko wanaililia CCMKijiji kipo juu milimani , miundombinu mibovu hasa barabara hamna maji ya bomba , ni kwenda mtoni , network ni YAS tu,
Shughuli za kilimo cha chai ndo kipo huku ila kiwanda kimefungwa .
Serikali ifanye uwekazaji huku hasa barabara.
Nimetumia 20k kutoka korogwe mji hadi huku.
Bora ningebaki mzizima niendelee kupiga boda aisee , doh.
Mwenye connection anisaidie nihame huku jamani.