Hana tatizo kabisa huyo Saint Ivuga mpenzi. Kuwa na amani nae[emoji15] kumbeee!
Wacha nichukue tahadhari..
Eeeh atupie kapicha maana hata sie tulitupia. Nimekuombea tena my dear akupatie hitaji lako.Hahahahaha lol! Si unajua desturi ya humu. Ukitupia kapicha itapendeza zaidi.
Poa poa...Hana tatizo kabisa huyo Saint Ivuga mpenzi. Kuwa na amani nae
Eeeh atupie kapicha maana hata sie tulitupia. Nimekuombea tena my dear akupatie hitaji lako.
Najua my dear. Sema picha atuwekee na sie tuna kaka zetu wako singleUnanijua mie napenda kuchangamsha baraza tu ili uzi utambae.
Amina, na iwe hivyo kwako piaAhsantee sanaa
Ubarikiweeee
Basi jitahidi leo isipite sijakupa gegedo maana ni bahati iliyoje[emoji2] [emoji2] sana tyuu
Ulikuwa unagoogle uchawi nini? Ukawa umekutana na Uzi za mshana Jr.Mara nyingi nilikuwa nikigeogle baadhi ya vitu vingi naona vinakuja kutoka humu,kwaiyo nikaamua kuanza kufuatilia taratibu,na mwisho nikaamua kujiunga
Jamaa upo kila uziKaribu kipenzi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ulikuwa unagoogle uchawi nini? Ukawa umekutana na Uzi za mshana Jr.
Hadi ni quote text ya mtu ndo niweze kureplyMm nafuata mishale tu
Kwani simu yako haikuonyeshi pakujibia?
Mbona hujibu pm za gegedo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji121]Ndiooo
Amen! Nimeipenda tu hiyo simu yako ya manyoa manyoa...Ahsantee
Ubarikiwe..