Si ajabu ulikutana na Uzi wa mzizi mkavu... Ulikuwa ugonjwa gani huo? Sa muda mwingine acha kugoogle dalili ,nenda hospitali kabisa... Karibu sana lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenichekesha sana..
Niligoogle meditation ndo nikaona Uzi wake...
Ila kuijua jamii forums nili Google dalili za ugonjwa Fulani
Mkuu kutoka kwenye u saint ivuga hadi u Santa claus kugawa zawadi kwa watoto wazuri,,, ni level za ajabu... Salute kwako!Njoo PM nikupe zawadi
Mgeni kachukue zawadi zako, alafu utapitia Pm yangu tufungue hayo mazawadi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hatareeeeee
Karibu Chai shemeji yangu..Bhaccc sawa
Subiri nipewe izo zawadi sasa
Umesema mwanzoni kuwa umeolewa, yaweza kuwa huyo mwenye mali ni kaka ama mdogo wangu...!Shemeji ako kiaje?
Ahsantee kwa chai
Mimi sio Mzee ni kijana mwenzio...!Hahahaaaa
Poa Mzee baba!
Unakujua pmMimi in wakike jaman