Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anakuonea tamaaNshachukua tahadhari..
Ucjali kuhusu hilo
Zamani ulikuwa unatumia ID ipi?Na wewe nimgeni kama mm?
Unatumia kinywaji gan nikupatieNshakaribia...
Ulivyofikiria ndivyo nilivyofikiriaUmeamua kuja kwa id nyingine tofauti!
Umeanza kusoma JF kama Guest tangu lini?Cjawai kujiunga kabla
Nikajua kawaine jamanMaji tu
Nikajua unakunywa kawaine jmnMaji tu
Njoo pm nikupe mbinu bora za kukabiliana na wanaume wakorofi wa humu ndani ili usipate tabu dhidi yaoMaji tu
Sawa.Cyo kila Mtu anafanya hivyo jaman