Hatimae nimemkamata anayeninyea mavi mlangoni kwangu

Watu nao hawana huruma yaani hata kubwa jinga nae wanamfanyia hivi.

Jitu jinga namna hii bado tu unajisaidia mlangoni kwake [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
 
Haha haha atakua na matatizo ya akili ndio tabu ya kuishi mitaa ya kiswazi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Jamaaa ulitupa mbao na randa

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Kutomfichua kunaweza kukugharimu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Yani we jamaa mpaka unatia hasira!
Hata kumkata mkono hakuna lol!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna mti nasikia unaitwa mvuje, siujui ila kama unaujue muekee anapokunya, ataharisha mpaka kucha 😀
 
Samahani mkuu unaish wapi?Mimi naishi wilaya ya masasi mkoan mtwara kijiji cha Namakongwa kiukweli nimestushwa sana na habari hii kwa sababu mimi ni baba wa watoto wa tatu -john ,richard na grace (gire) arafu huu ni msimu wa panya uku kwe2 yani watu weng hupendelea kwenda mashambani kuchimba panya Wa kitoweo akiwemo mke wangu mama gire kiukweli usik wa juz kama kawaida yake aliniaga anaenda kutafuta panya lakn baada ya nusu saa niliskia akigonga mlango kwa taharuk baada ya kumfungulia mlango aliingia ndani hakutaka kuzungumza chochote nami sikumfosi sana ila cha kunshangaza asubuh ameniambia kwamb yeye anataka kwenda kumsalimia mama yake songea mim npo kazn sasa sijui nyumbn ameondoka au la! niambie waish wap tafadhar !
 
Kosa kumuachia,ushapoteza ushaidi,,Sasa hapo anaweza kukuua ili usimtangaze maana anaishi kwa wasiwasi haujui unachotaka kufanya ni nn?

Post sent using JamiiForums mobile app
 


Au sio
 
Umekosea sn japo ungemchamba kwa **** mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…