Hatimae nimemng'oa dogo madego mawili chap

Hatimae nimemng'oa dogo madego mawili chap

Naomba nichukue fursa hii kusema ya kwamba kitu ulichokosa maishani ni BUSARA.
Ai mbrrr mbrrrr Nyonzo bin mvule maamaee
b984622235cc47cb86f061bcea479279.jpeg
 
nilifurumusha bonge moja la konde kwa mtindo wa Peek A Boo style ile aliyokuwa akiitumia Mike Tyson "Maana ile style ni dozi Tisha sana dhidi ya majitu marefukama yeye?


🤣 Hahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😂 😂 ww ni muuaji na ulichomaindi kwa nn dogo mrefu kuliko ww
😂😂Madogo marefu alafu yanaleta dharau zisizoeleweka kwa sisi wakufunzi.
 
Kumzaba ngeta , umekosea zaidi japo yeye alikuwa na kosatayari

Sijajua milazenu ,hiyo bodi ilitakiwa isikilize lalamiko lako juu ya dogo
 
Hata sijui nacheka nini😂😂😂,. Usisahau kuleta mrejesho
Mrejeaho ni baada ya saa kumi we ngoja niimalize hii Valeur. Tena nimekaa nayo juani ili ipande vizuri alafu hiyo saa kumi ndiyo niende kurap kilatino sasa.
 
Msibani hata kuongea na watu kwenye moto ni kazi. Pia msosi wanagawaga wanawake. Pia ukiendeleza ujinga huu wa kulazimisha heshima utakuja kutiwa kilema.
Ya kugawa msosi wanawake ni mila za kwenu mzee usikalili, kwetu wanawake wanagawa msosi ila asilimia kubwa ni kazi ya wanaume. Wanawake wengi wanakaa jikoni kupika na kupakua huku wakijifuta machozi ya msiba kwa utulivu. Maana wazee hawapendi vilio vitokee jikoni.

Kuhusu swala la kitiwa kilema nafkiri utaanza wewe kamanda.
 
Back
Top Bottom