Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Nyonzo bin mvule aaaaaah aiiii uuuu kammon mbrrr nyonzo de bin mvule maamaee.Hata sijui nacheka nini😂😂😂,. Usisahau kuleta mrejesho
Ai mbrrr mbrrrr Nyonzo bin mvule maamaeeNaomba nichukue fursa hii kusema ya kwamba kitu ulichokosa maishani ni BUSARA.
😂😂Madogo marefu alafu yanaleta dharau zisizoeleweka kwa sisi wakufunzi.nilifurumusha bonge moja la konde kwa mtindo wa Peek A Boo style ile aliyokuwa akiitumia Mike Tyson "Maana ile style ni dozi Tisha sana dhidi ya majitu marefukama yeye?
🤣 Hahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😂 😂 ww ni muuaji na ulichomaindi kwa nn dogo mrefu kuliko ww
Hiyo nayo ni aina ya mafunzo. In a hard waykaka mkubwa huwezi kumfunza dogo adabu msibani
ulichemka
kaombe radhi
Kuna vitu havivumiliki hata kidogo aisee. Ni kutoa kelbu tu mpaka wakae sawa.Naomba nichukue fursa hii kusema ya kwamba kitu ulichokosa maishani ni BUSARA.
Kila mtu ni mdogo na kila mtu ni mkubwa inategemea tu umemlinganisha na nani. " Hata siku moja siwezi kuwa mdogo kwa mdogo wangu"Sasa mbona mnaonekana wote ni madogo.
Mrejeaho ni baada ya saa kumi we ngoja niimalize hii Valeur. Tena nimekaa nayo juani ili ipande vizuri alafu hiyo saa kumi ndiyo niende kurap kilatino sasa.Hata sijui nacheka nini😂😂😂,. Usisahau kuleta mrejesho
kudhibiti hayo ,watu hawaoni fursa za makampuni ya kuzikaNaomba nichukue fursa hii kusema ya kwamba kitu ulichokosa maishani ni BUSARA.
Ni dogo tumbo moja na baba mmoja.Ni mdogo wako uliezaliwa nae au jirani?
Haukutumia hekima kwa maamuzi uliochukuqa....nafikir ungemaliza afu baadae umuulize tu mbona umesusia msiba?akizngua ndo makwenz na kelbu zihusikeNi dogo tumbo moja na baba mmoja.
Ya kugawa msosi wanawake ni mila za kwenu mzee usikalili, kwetu wanawake wanagawa msosi ila asilimia kubwa ni kazi ya wanaume. Wanawake wengi wanakaa jikoni kupika na kupakua huku wakijifuta machozi ya msiba kwa utulivu. Maana wazee hawapendi vilio vitokee jikoni.Msibani hata kuongea na watu kwenye moto ni kazi. Pia msosi wanagawaga wanawake. Pia ukiendeleza ujinga huu wa kulazimisha heshima utakuja kutiwa kilema.
Ni msiba wa tajiri gani huo umewahi kuhudhuria chief!?Haya mambo huwezi kuyaona kwenye misiba ya matajiri