Hatimae nimemng'oa dogo madego mawili chap

Mi ni Mnyakyusa, misosi misibani wanagawa wanawake. We endekeza hizo ego kwa madogo kilema hakiko mbali nawe.
 
Unaonekana shoga tu
 
Kikao hakijaisha tu?? Kimekua kirefu.....
Au mmepigana na hapo kikaoni.
 
Wote ni wajinga,mmeshindwa kuficha ujinga wenu,mtu wa 90s unasambazaje chakula??hakuna mabinamu wa kike,umri wako ni wa kuwa na mke na watoto wawili,kupigana kwenye msiba wa mjomba ni ujinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…