Hatimae nimepata kazi ya kujishikiza

Hatimae nimepata kazi ya kujishikiza

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Kazi niliiona tu kwenye site fulani inaitwa zoom nikaomba kizembe tu,last week wakaniita kwenye interview, ni wahindi fulani,leo wamenitumia email kuwa nimepata kazi na mshahara utakua laki 6 na nusu, probation ni miezi mitatu.nimeamua tu kesho nikadondoshe wino huku nikiwa naskilizia kazi zingine mdogo mdogo.
 
Kazi niliiona tu kwenye site flani inaitwa www.zoom.com nikaomba kizembe tu,last week wakaniita kwenye interview, ni wahindi flani,leo wamenitumia email kuwa nimepata kazi na mshahara utakua laki 6 na nusu,probation ni miezi mitatu.nimeamua tu kesho nikadondoshe wino huku nikiwa naskilizia kazi zingine mdogo mdogo.
Hongera mashaallah
 
Kazi niliiona tu kwenye site flani inaitwa www.zoom.com nikaomba kizembe tu,last week wakaniita kwenye interview, ni wahindi flani,leo wamenitumia email kuwa nimepata kazi na mshahara utakua laki 6 na nusu,probation ni miezi mitatu.nimeamua tu kesho nikadondoshe wino huku nikiwa naskilizia kazi zingine mdogo mdogo.
Hongera mkuu japo wahindi wasumbufu sana ila kaza tu ni heri usumbufu kuliko kusota mtaa.

Pambania kombe arif.
 
Wahindi hera yake ukiipata inaishia Bar na kuhonga, sijui huwa wanazipulizia nini wale washenzi, yaani hera yao haiwekeki labda uwe na Mungu ukipewa mshahara tu uziombee na utoe fungu la kumi kwa wajani na yatima wasio jiweza
 
Kazi niliiona tu kwenye site flani inaitwa www.zoom.com nikaomba kizembe tu,last week wakaniita kwenye interview, ni wahindi flani,leo wamenitumia email kuwa nimepata kazi na mshahara utakua laki 6 na nusu,probation ni miezi mitatu.nimeamua tu kesho nikadondoshe wino huku nikiwa naskilizia kazi zingine mdogo mdogo.

Tangazo la zooom hili
 
Back
Top Bottom