Hatimae Nimerejea Hewani

Hatimae Nimerejea Hewani

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Hivi haya yote yanawezekanaje..
1. Kichuya nayemfahamu mimi, ambaye tukiona anaenda kupiga kona, tunaanza kushangilia goli.. Siku hiyo anapata nafasi zaidi ya 7, zote anapaisha kweli? Hapana.
2. Tangu namfahamu beki 'makini na anayetumia akili nyingi sana' Kapombe, sijawahi kuona akifanya uzembe kama ule.. Inakuaje ikatokea Mwanza?
3. Mbao mlimpa mini MK14?? Yeye na kipa, eti anakosa.. kweli?? Hapana.. Sitaki kuamini kabisa.
4. Yule specialist wa shuti goli, Mo Ibrahim siku hiyo kila akikunjuka mpira unawababatiza mibeki ya Mbao. Hii kitu si ya kawaida kabisa.
6. Mpira tumeupiga mwingi sana [nadhani ndo timu iliyopiga mwingi sana mpaka sasa], Inakuaje tumeshindwa kuwafunga?

Achana na hayo.. Mimi sembo 'born town kitambo'... Siku ya mechi nikapoteza simu katika mazingira ya yaliyojaa utata mwingi saaana... Ila kwa msaada wa 'vyombo vya usalama' ndo natoka kuichukua mda huu huku wilayani Magu. Nimeikuta kwa Mganga maarufu sana hapa wilayani.

Nikiripoti toka kwa 'Mganga Wao' hapa wilayani Magu... Ni mimi Sembo wa Simba TV.
 
Mambo yakawa ivo[emoji23][emoji23]
IMG-20180920-WA0007.jpg
IMG-20180921-WA0001.jpg
IMG-20180920-WA0009.jpg
IMG-20180920-WA0010.jpg
tapatalk_1537459358690.jpeg
 
Hivi haya yote yanawezekanaje..
1. Kichuya nayemfahamu mimi, ambaye tukiona anaenda kupiga kona, tunaanza kushangilia goli.. Siku hiyo anapata nafasi zaidi ya 7, zote anapaisha kweli? Hapana.
2. Tangu namfahamu beki 'makini na anayetumia akili nyingi sana' Kapombe, sijawahi kuona akifanya uzembe kama ule.. Inakuaje ikatokea Mwanza?
3. Mbao mlimpa mini MK14?? Yeye na kipa, eti anakosa.. kweli?? Hapana.. Sitaki kuamini kabisa.
4. Yule specialist wa shuti goli, Mo Ibrahim siku hiyo kila akikunjuka mpira unawababatiza mibeki ya Mbao. Hii kitu si ya kawaida kabisa.
6. Mpira tumeupiga mwingi sana [nadhani ndo timu iliyopiga mwingi sana mpaka sasa], Inakuaje tumeshindwa kuwafunga?

Achana na hayo.. Mimi sembo 'born town kitambo'... Siku ya mechi nikapoteza simu katika mazingira ya yaliyojaa utata mwingi saaana... Ila kwa msaada wa 'vyombo vya usalama' ndo natoka kuichukua mda huu huku wilayani Magu. Nimeikuta kwa Mganga maarufu sana hapa wilayani.

Nikiripoti toka kwa 'Mganga Wao' hapa wilayani Magu... Ni mimi Sembo wa Simba TV.
mbona hayo maswali hukujiuliza mlipotoa droo na ndanda?
 
Mkuu, Nagwanda sijaona sikuibiwa simu. Nagwanda sijaona Kapombe hakufanya kosa loloote n.k
nikwambie ukweli tu viwango vya mpira afrika mashariki ni sawa tu hata mngekaa uturuki mwaka mzima bado mkirudi mtasumbuliwa na hao akina ndanda, hivi unajua ndanda walivyo droo na simba walipewa milioni moja wagawane timu nzima? sasa jifikirie nyie simba hiyo milioni si ndio huwa mnampa kichuya peke yake akifunga goli la kona
 
nikwambie ukweli tu viwango vya mpira afrika mashariki ni sawa tu hata mngekaa uturuki mwaka mzima bado mkirudi mtasumbuliwa na hao akina ndanda, hivi unajua ndanda walivyo droo na simba walipewa milioni moja wagawane timu nzima? sasa jifikirie nyie simba hiyo milioni si ndio huwa mnampa kichuya peke yake akifunga goli la kona
Mkuu viwango vingekua vinafanana.. Tungekua tunaona mabingwa tofauti katika ligi yetu.. Mfano Mtibwa, Mbeya City, JKT Ruvu n.k [Ila si Mbao].. Sasa kwann kila siku ni Simba na Azam, na kidogo Ndala? Timu zinatofautiana Mkuu.
Na kesho karibu Kambarage Stadium ushuhudie tofauti ya kuweka kambi Uturuki [mitaa ya kujidai Mesut Ozil na Arda Turan] na kuweka kambi katika kijiji cha Maganzo, kilichopo penzoni mda mgodi wa Mwadui, mkoani Shinyanga.
 
Back
Top Bottom