Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimae mwalimu mpya nishafika kwenye kituo changu cha kazi kwimba duu maendeleo f kijijini mbaya lakini ndio kazi eeh mungu nisaidie.
Nipe stori za huko zaidi, kuna dada yangu anakuja huko.
acha mbwembwe si useme tu ni wewe,au sikuizi umeshaanza udada?
hadi jf ipo huko mbna maendeleo sana
acha mbwembwe si useme tu ni wewe,au sikuizi umeshaanza udada?
ha ha mwalimu acha mashushu !! Dah twenzetu nakitoa hivyoo!! Ndani ya basi!
Nipe stori za huko zaidi, kuna dada yangu anakuja huko.
Nkianza kunyemelea udada ntakuwa shoga.
Kuna dada yangu kapangiwa kwimba na hivi sasa yupo njiani kuingia Mwanza (alitoka jana Dom)
Mie nmepangiwa Kyela aisee, kuna mawese kule, maparachichi meeeeengi bila kusahau ubwabwa super unao uzwa kwa gharama Tz nzima ila nikiwa kule bei cheeeeeee, kitu kingine kule nnapakana na Malawi, najua unajua nn kitaendelea nikiwa mjasilia mali.
Mungu anipe nini mie?
Kila la kheri walimu wetu. Msibweteke mkajiongeze msake madigirii.
Fanya kazi iliyokupeleka huko a cha kujishauwa.
BTW kuwa makini ukishangaa utaishia kuwa chapombe wa pombe za kienyeji.
ha ha mwalimu acha mashushu !! Dah twenzetu nakitoa hivyoo!! Ndani ya basi!