Hatimae nishafika.

kwanza kuendelea ni ngumu sana utajiona upo juu kwa kujifananisha na watu wa kijijini ila ukifika town unaweza ujione we ndio maskin wa mwisho

Na mimi niko huku bwana ebu ni Pm, tunaweza anzisha Jf branch
 
Usafiri unataka kwenda wapi? Acha uzururaji mwalimu. Piga kazi na muda wa ziada ulime. Vizia katibu kata hapo akuwowe shaaaa! Mungu akupe nini?

Dah comment yako imenifanya nitabasamu, ulijuaje kama mm ndio mwenyewe Kk!?
 
hata niwe mkuu wa shule nipate muda mwingi wa kufanya mambo yangu.

Kilaa kheri bana, piga kazi kwa moyo wote! Ila kuna msemo unasema

'Prof kuwa kama mwana kijiji ni rahisi sana kuliko mwanakijiji kuwa kama profesa'
 
kwanza kuendelea ni ngumu sana utajiona upo juu kwa kujifananisha na watu wa kijijini ila ukifika town unaweza ujione we ndio maskin wa mwisho

Ukiishi kwa kujifananisha na watu ujue umekwisha maana hilo suala la kudumaa akili inategemea na mtu mwenyewe !, wapo waliopo kijjn lakini hatua walizopiga kimaendeleo ni zaidi ya wengi ambao wanaishi kwenye mapango ya kulipia kwa mwezi ..
 
Hatimae mwalimu mpya nishafika kwenye kituo changu cha kazi kwimba duu maendeleo f kijijini mbaya lakini ndio kazi eeh mungu nisaidie.
ila umewahi sana si mliambiwa mfike kuanzia tarehe 1
 
Hatimae mwalimu mpya nishafika kwenye kituo changu cha kazi kwimba duu maendeleo f kijijini mbaya lakini ndio kazi eeh mungu nisaidie.

kweli unapenda kazi yako, vp kuna maji na umeme huko?
 
kweli unapenda kazi yako, vp kuna maji na umeme huko?

kazi yangu naipenda sana maana sikulazimishwa hii fani naipenda toka moyoni maji yapo, umeme,hosp na bank ya nmb hapa centre cjui huko madongo kuinama Itenka.nimewahi kuandaa mazingira mkuu
 
kulima tena lazima ndugu bila kilino siwez toka.
 
shule niliyopata usafiri kwenda na kurudi ni 1000sh.
 
sijakuelewa mkuu

Ili kupunguza umasikini, MKUKUTA ikaundwa, ili kudhibiti rushwa PCCB ikaundwa, ili kudhibiti mapato ya umeme LUKU ikaletwa, sasa ili kudhibiti kipato cha mwalimu, FUKU-fundisha kadri unavyolipwa imeundwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…