Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hata mama anaweza asijue ukweli.Mama ndo anajua ukweli, kama zari anavyojua ukweli wa baba wa tiffa na prince
Imagine kama alilala na wanaune wanne ndani ya siku tano.....
Hapo atajuaje kuwa ndo huyu na si yule?