Hatimae Shilole afunga ndoa na Uchebe

Hatimae Shilole afunga ndoa na Uchebe

princewilly

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
259
Reaction score
528
018ab0c79f29421fd9472c8bdc502d90.jpg
 
Bibi harus shishitrump bwana kapendeza peke ake[emoji23][emoji23]
 
Lazima wazazi na mashangazi watatandika shuka jeupe pee ili washuhudie kijana Uchebe akiondoa Usichana wa kigoli Shilole.

Jamaa ana bahati sana...wengi huku wanasaka vibinti bikra lakini waapi!
 
Ndoa za kiislam ni very simple unahitaji Shehe na masinia ya maandazi mchezo kwisha ,na mziki wa kukodi kigodoro , hata 500,000 haimaliziki.Acha waowane kila siku na kuachana.
Ndoa sio jela kama ilivyo kwenu huko Dini inaondoa any chance ya watu kuitumia ili kuhalalisha zinaa c unaona Mh. Balozi Slaa leo katumbukia katika dhambimaana kuoa hawezi na mkewe hawezi rudiana.
 
Ndoa sio jela kama ilivyo kwenu huko Dini inaondoa any chance ya watu kuitumia ili kuhalalisha zinaa c unaona Mh. Balozi Slaa leo katumbukia katika dhambimaana kuoa hawezi na mkewe hawezi rudiana.

Nakubaliana nawe japo mkristo , mapadre na maaskofu wanatutesa kwakweli yaani vijana wengi wanashindwa kuoa
 
Lazima wazazi na mashangazi watatandika shuka jeupe pee ili washuhudie kijana Uchebe akiondoa Usichana wa kigoli Shilole.

Jamaa ana bahati sana...wengi huku wanasaka vibinti bikra lakini waapi!


Bikra ya kazi gani kama kapata sehemu ya kulala? Mjini kodi ya nyumba tight mkuu.
 
Lazima wazazi na mashangazi watatandika shuka jeupe pee ili washuhudie kijana Uchebe akiondoa Usichana wa kigoli Shilole.

Jamaa ana bahati sana...wengi huku wanasaka vibinti bikra lakini waapi!

Labda bikra ya "Ndogo"
 
Back
Top Bottom