muhuwesichimalamyasi JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 306 Reaction score 132 Oct 6, 2016 #1 katika hali isiyo ya kawaida klab ya simba baada ya msoto wa miaka minne bila kombe wala jagi.imeona bora wafuate mfumo wa yanga kwa kuteua kamati ya mashindano.vp wadau mnaamin hii kamat kwa simba itawasaidia kupata kombe msimu huu?
katika hali isiyo ya kawaida klab ya simba baada ya msoto wa miaka minne bila kombe wala jagi.imeona bora wafuate mfumo wa yanga kwa kuteua kamati ya mashindano.vp wadau mnaamin hii kamat kwa simba itawasaidia kupata kombe msimu huu?