muhuwesichimalamyasi
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 306
- 132
katika hali isiyo ya kawaida klab ya simba baada ya msoto wa miaka minne bila kombe wala jagi.imeona bora wafuate mfumo wa yanga kwa kuteua kamati ya mashindano.vp wadau mnaamin hii kamat kwa simba itawasaidia kupata kombe msimu huu?