Hatimae wachawi wakwamisha show ya Wasafi Sumbawanga, Kurudiwa bure leo

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Jana usiku kutokana na mvua kubwa kunyesha ilibidi Diamond platnumz atangaze kusitisha show na kuahidi kurudiwa siku ya leo saa kumi jioni , Diamond amesema kuwa Show itakuwa ni buree

Wachawi wameloga jana ili leo waingie bure, sumbawanga sio mchezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]
 
Mvua inaletwa na wachawi kumbe na jana imenyesha karibu dar nzima
 
[QUOTE="LICHADI, post: 29538801, member: 27224Rukwana usiku kutokana na mvua kubwa kunyesha ilibidi Diamond platnumz atangaze kusitisha show na kuahidi kurudiwa siku ya leo saa kumi jioni , Diamond amesema kuwa Show itakuwa ni buree

Wachawi wameloga jana ili leo waingie bure, sumbawanga sio mchezo[/QUOTE]

Acha uongo wewe! Huu ni msimu wa mvua mkoa wa Rukwa
 
Watu wanalipia tiketi kabla ya kuingia hivyo hajapoteza hata kidogo
 
Hizo show za bure zitakujasababisha maafa bora zifanyike uwanja wa wazi
 
Sio kweli banah! Tangia wamefika mi nawafuatilia kule Sumbawanga kulikuwa na mvua toka hapo! Juzi yule mtangazaji anapita maeno ya sokoni naona madimbwi ya maji it means mvua ndiyo msimu wake huu.
 
Hizi show ni upuumzi mtu, watu wanapiga Pesa, halafu mtu Huyo Huyo aliyeingia kwenye Hizi show na kulipa Pesa analalamika vyuma vimekaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…