Tusiweke Siasa kwenye vitu sensitive! Ningetaka kuifanya Siasa ningeipeleka kwenye jukwaa la Siasa.Hizi ni taarifa nzuri kwa Ufipa...
Kila kitu We jambazi unaingiza siasa
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mchele ni anasa Dar. Kilo ya mchele ule mbaya kabisa ni shs 3000
Ni kweli kabisaaaa ndio bei yakeMafuta dumu la lita 20 tunanunua kwa tsh60000
Yatakuwa almas soonNi kweli kabisaaaa ndio bei yake
unayapata wapi kwa bei hiyo?,Mafuta dumu la lita 20 tunanunua kwa tsh60000
Kufanyeje? Ina maana taarifa yangu ni ya uongo?wala hamtafanikiwa.
UONGO MTUPUKufanyeje? Ina maana taarifa yangu ni ya uongo?