Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Kabisa mkuuLast time walisema mond azuiwa jukwaa kuu. Now amevuliwa kofia na kapita red kapeti . Mond alipofika mwingine hawezi fika kunde gang mpoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuLast time walisema mond azuiwa jukwaa kuu. Now amevuliwa kofia na kapita red kapeti . Mond alipofika mwingine hawezi fika kunde gang mpoo
Hatar...y soo much hate vijana wa bongoNafikiri before Mondi Mpoto na Banana Zoro washapewa kofia..
So sio news hii..
Endeleeni kunywa mtori.
Sio Habari..Hatar...y soo much hate vijana wa bongo
Vipi na wewe bado unaendeleza bifu zako na Mondi !!Hadi muda huu innocent dependent amezimia kwa mshtuko wa furaha.
CCM bana imeshazoa kura za team domo kilainiiii
Kabisa yaani magufuli anakubarika sanaMagu anakubarika sana
Hii sio show ya kitandani na mmeoKalipwa au shoo ya bure
Kila nikikuuliza wa kwenye avatar ni wewe nawe hujibu dahMagu anakubarika sana
Hahahahaaaaa.ukiona mtu anamnyenyekea msanii ujue maji ya kisima yanasogelea kinywa!