Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahhaha uwiii ukikutana na mapaka ni mapaka haswaaaa...hebu uwe na heshima kidogo nyau weweeeeNyau ndoa yenu na idumu milele ila utabaki kuwa nyau wangu nyau weee
tunashukuru sanaHongereni [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Hakuna kama𓆏utakaa hapo, wenye kuwaza sana chura akili huko kichwani ni zero +
sijui Behaviourist na wewe uko hivyo? nimeuliza tu sijui
We mwana wewe, upooooJf kuchele.
Happy birthday roho ya mwenyewe
poyeeeeeeHakuna kama𓆏
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mbavu zangu una mpango gani nazo, xmass nisile mbuzi amahahahahhaha uwiii ukikutana na mapaka ni mapaka haswaaaa...hebu uwe na heshima kidogo nyau weweeee
hahahhaha mbusi na kisusio lazima ukule, andaa tu tumbo mzee baba[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mbavu zangu una mpango gani nazo, xmass nisile mbuzi ama
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimekoma kuja huku, natoka bila kuwa salamahahahhaha mbusi na kisusio lazima ukule, andaa tu tumbo mzee baba
Uwiiiii mbavu zangu mie teh teh[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimekoma kuja huku, natoka bila kuwa salama
Wachaaaa😍😍😍😍😍..mapenzi kwa hewaaaa...Mungu awaweke nije kula keki ya kamati vipenzi..cheers🥂wooow bby sasa mbona hukuniambia umeniandikia hii kitu nzuri huku..kuni saprise mwenzako jana na kunipeleka kule mahali na mizawadi kede kede ndo usiniambie hadi huku JF kuna masaprise mengine?
Loooh I don't know what to say but just know that I will love you forever no matter what.
come rain come sun, nothing will change me..no waves will take me away from you love
I love you far way, from the moon and back.
Stun babe, I LOVE YOU and thanks for always being there for me.
ok darling, kama umeridhia hivyo sawa kabisaWachaaaa😍😍😍😍😍..mapenzi kwa hewaaaa...Mungu awaweke nije kula keki ya kamati vipenzi..cheers🥂
Nipo kipenziWe mwana wewe, upoooo
habari ya masiku...nimekuachia kipande ya keki uje ukule jioni
Nawapenda zaidi vipenzi 😘😘😘ok darling, kama umeridhia hivyo sawa kabisa
we love you
ukuje Arusha baby nakuwekea mieNipo kipenzi
Za masiku nzuri.. sijui upande wako mpendwa wangu...kipande cha 🍰😋😋😋😋 cha uroho mie 🤸🤸🤸🤸nakujaaaa
Uzuri ni kwamba JF kuna warembo wengi sana tena wazuri kwa kila idara. Hivyo usijali mkuu utapata tu.Happy birthday kwake
Yani nami nijipatie mtu huku mambo yawe Kama haya
Penda Sana Couple hizi
Smart vs Mahondaw
Stunter vs Jje's
Hongereni Sana Maisha mema [emoji120][emoji120][emoji120]
.Amina Yani nikitimizaga hiyo k2 Nadhani Ntakuwa Kama wewe mkuuUzuri ni kwamba JF kuna warembo wengi sana tena wazuri kwa kila idara. Hivyo usijali mkuu utapata tu.
thank you mingi mkuuHappy birthday kwake
Yani nami nijipatie mtu huku mambo yawe Kama haya
Penda Sana Couple hizi
Smart vs Mahondaw
Stunter vs Jje's
Hongereni Sana Maisha mema 🙏🙏🙏
Hahaha...