Huyu msanii anaugonjwa fulani wa kiakili unaitwa Attention Seeking Disorder, ndio unaomsumbua sana.
Siku zote ataendelea kufanya vituko ili mradi avute attention za watu.
Kwa mfano: alianza kukaa uchi fiesta, kisha akaja kuomba radhi ''kisaniisanii'', leo anatoa picha kaolewa, kesho atadai kaachika, keshokutwa atadai ana mimba, then mimba imeharibika, then atajaribu kujiua kwa kunywa sumu, mwisho utasikia kaokoka..........
*Watu mnaompenda huyu dada anzeni kumsaidia kumrekebisha sasa, kabla mambo hayajawa mabaya zaidi huko mbele ya safari.