Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Anti Ezekiel amefunga ndoa Kimya Kimya siku moja baada ya kuomba msamaha kwa kuvaa nguo iliyoonyesha kufuli lake.

Hapa ni baada ya kufunga ndoa tayari.

Hapa akisaini cheti cha ndoa baada ya kumaliza shughuli.

Hapa akionyesha gauni lake

Hapa akiwa na shoga zake.


Bado Wema Sepetu na Jack Wolper zamu yao kuolewa yaja

Hapa ni baada ya kufunga ndoa tayari.

Hapa akisaini cheti cha ndoa baada ya kumaliza shughuli.

Hapa akionyesha gauni lake

Hapa akiwa na shoga zake.


Bado Wema Sepetu na Jack Wolper zamu yao kuolewa yaja