DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Katema ndoanoIlikuwa suala la muda tu
Sasa ningependa kwenye mazungumzo wawe fair kwa pande zote mbiliNice
Wapuuzi sana ! Wangekomaa ili tujue wao vidume kweli,Wizara ya Afya Tanzania wameupongeza Uongozi wa Bodi ya Wamiliki wa Vituo vya Afya binafsi (APHFTA) kwa hatua hii nzuri yenye kuleta matumaini katika kufikia suluhisho la changamito iliyojitokeza. "Sote ni wamoja, turudi kwenye majadiliano, huduma bora za afya ziendelee kutolewa kwa wananchi."
View attachment 2922280
Pia, soma APHFTA: Tutasitisha huduma za NHIF kuanzia saa sita usiku, wagonjwa mahututi tutawaongezea saa 48
Akili yako imeishia hapo? Jiongeze kidogo basi.Stupid.
Rubbish.Akili yako imeishia hapo? Jiongeze kidogo basi.
Watakua wapumbavu kisa mkwalaNi vyema kwa watu wote wakiwemo wawekezaji kutambua kuwa serikali iliyopo madarakani ipo kihalali, kisheria hivyo basi lazima kila mtu anawajibu wa kuheshimu mamlaka na sheria za nchi.
Tamko la APHFTA lilikuwa utovu wa nidhamu na kukosa utu.
Nani asiyejua kuwa huduma za hospitali zinahusu maisha ya watanzania moja kwa moja? Unapata wapi ujasiri wa kusema utawafukuza wagonjwa? Ili wafe au?
Kuipenda nchi yetu I.e. uzalendo unaanza kwa kuthamini maisha ya watanzania.
Tuipende nchi yetu.
Shingo haipiti kichwaWizara ya Afya Tanzania wameupongeza Uongozi wa Bodi ya Wamiliki wa Vituo vya Afya binafsi (APHFTA) kwa hatua hii nzuri yenye kuleta matumaini katika kufikia suluhisho la changamito iliyojitokeza. "Sote ni wamoja, turudi kwenye majadiliano, huduma bora za afya ziendelee kutolewa kwa wananchi."
View attachment 2922280
Pia, soma APHFTA: Tutasitisha huduma za NHIF kuanzia saa sita usiku, wagonjwa mahututi tutawaongezea saa 48
Kuwa fair inatakiwa kuanzie na uwakilishi kamilifu wa kamati... Mfano kwenye hiyo kamati kuna wawakilishi wa wanachama wa NHIF? Wizara ya afya pia iache kuuigilia mfuko kwa sababu hizo ni pesa za mfuko (wanachama) siyo za serikali.Sasa ningependa kwenye mazungumzo wawe fair kwa pande zote mbili