Hatimaye Bunge lapata wafuasi na wafuatiliaji ambao ni vijana. Niipongeze serikali kwa jitihada hizo

Hatimaye Bunge lapata wafuasi na wafuatiliaji ambao ni vijana. Niipongeze serikali kwa jitihada hizo

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Vijana ndio nguvu kazi ya taifa, hivyo kuna umuhimu mkubwa wa serikali kuhakikisha kuwa nguvu hiyo ndiyo inayohusiswa kwa 100% ili mipango ya nchi ikae sawia

Bunge la sasa si sawa na bunge la zamani. Bunge la miaka hiyo lilitazamwa sana na wazee huku vijana wa ovyo akiwamo mimi tulifuatilia sana sanaa na burudani

Hivi sasa, wale viburudishi wa vijana, nao wamekuwa wakishika hatamu kwenye nafasi mbalimbali za serikali, hivyo kuteka vijana kufuatilia masuala mazima ya siasa. Mfano hai ni Proffessor Jay, Mwana Falsafa (Mwana FA), Jokate Kidoti etc

Kwa sasa bunge la Tanzania ni full shamla shamla kwa vijana kwa kuwa wale waliokuww wanatupatia burudani kwa sasa tuko nao bungeni. Nimetazama bunge nikafurahia sana kumuona Keysha na Bab Tale wakileteana utani wa hapa na pale. Kilichonifurahisha zaidi ni baada ya kuona wimbo wa keysha wa Nipe zawadi ya Pendo lako ukiimbwa Bungeni

Hivi ndivyo jinsi ambavyo vijana tunataka. Bunge lisipoe, sio kila siku kujadili mambo mazito ambayo hayana solution

Kideo:
 
Vijana ndio nguvu kazi ya taifa, hivyo kuna umuhimu mkubwa wa serikali kuhakikisha kuwa nguvu hiyo ndiyo inayohusiswa kwa 100% ili mipango ya nchi ikae sawia

Bunge la sasa si sawa na bunge la zamani. Bunge la miaka hiyo lilitazamwa sana na wazee huku vijana wa ovyo akiwamo mimi tulifuatilia sana sanaa na burudani

Hivi sasa, wale viburudishi wa vijana, nao wamekuwa wakishika hatamu kwenye nafasi mbalimbali za serikali, hivyo kuteka vijana kufuatilia masuala mazima ya siasa. Mfano hai ni Proffessor Jay, Mwana Falsafa (Mwana FA), Jokate Kidoti etc

Kwa sasa bunge la Tanzania ni full shamla shamla kwa vijana kwa kuwa wale waliokuww wanatupatia burudani kwa sasa tuko nao bungeni. Nimetazama bunge nikafurahia sana kumuona Keysha na Bab Tale wakileteana utani wa hapa na pale. Kilichonifurahisha zaidi ni baada ya kuona wimbo wa keysha wa Nipe zawadi ya Pendo lako ukiimbwa Bungeni

Hivi ndivyo jinsi ambavyo vijana tunataka. Bunge lisipoe, sio kila siku kujadili mambo mazito ambayo hayana solution

Kideo:
View attachment 2998787
Vijana gani hao. Bunge la Marehemu sitta ndilo lilikuwa likifuatiliwa zaidi na vijana wengi tena wa vyuo na wazee pia maana lilikuwa la moto. Watu tulikuwa tunawahi tukitoka kwenye vipindi tukatazame bunge.
Si kama bunge hili ambalo mpaka ulete wakina mwijaku wakabusu miguu ya wabunge hata kama wapo wanaofuatilia hawafuatilii hoja wanaenda kutazama comedy za akina baba levo
 
Bunge la kina Keisha,Babu Tale, Msukuma,Kishimba nakaa nasikiliza nini?😂😂😂
 
Hakuna bunge bali ni genge la wahujumu uchumi na wala rushwa waliojihalalisha.
Bunge lilikuwa enzi za kina Lissu hadi vibanda umiza vya mipira walikuwa wanatoza watu hela ili waangalie Bunge.
Kwa sasa bunge limekosa mvuto hakuna anayelifatilia.
Kwani wote wanaonekana kama majizi flani ambayo yanahujumu uchumi wa hii nchi.
Ingewezekana ili Bunge ifanyike kama Uingereza livunjwe uchaguzi urudiwe uwe huru na haki tuachane na hawa vibaraka wa shetani marehemu jiwe mwenyezi Mungu aendelee kuchochea kuni huko motoni alipo
 
Vijana wa sasa wana uelewa hawawezi kufuatilia hicho
 
Bunge ambalo vijana tulifuatilia na tukawa wafuasi lilikua la kina Lisu na zitto spika Samweli Sitta na kipindi Cha Anna Makinda lilikua moto kuliko pasi ya umeme, lakini hili la sasa ni vikao vya ccm ndani ya ukumbi wa bunge limepooza kama mkojo wa jioni vijana hatuwezi fuatilia
 
Back
Top Bottom