Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

Haha mkuu barafu umeandika kichochezi hadi umenichochea....

Nasikia emirates zitaanza tua chato ......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huko Chato Emirates zitakuwa zinapeleka watu gani? Loh

Hapo umechochea.
 
I see.

No wonder w're doomed.
 
Ndo maana serkali inapiga vita sana mtandao wa JF kwani wa najua kuna ni darasa la mapinduzi katika nyanja zote kiuchuni, siasa, elimu na kijamii pia, live long maxence
 
Mkuu barafu, iwapo serikali ingechukua hata nukta ya ushauri wako basi isingejuta kufanya hyo.

Mwanza is a Central of East African country! Kutoka Mwanza kufika Serengeti ni masaa yasiyozidi 2, hvyo kuwa na International airport mwanza hakika uchumi wa mwanza na nchi ungepaa Sana...maana wageni wengi wangetua na kwenda Masai zaidi kuliko hivi sasa sisi ndio vinara wa kwenda kupokea kwenye border ya isbania!!!
 
Heshima kwako barafu, andiko hili linafikilisha sana.

Najiuliza kwanini ile hotel ya mkulu aliyepita anayozushiwa pale Rock city tusingeijenga pale Serengeti national park!

Ubinafsi na akili za umimi zinatuponza sana na kutufanya tuendelee kuwepo hapa tulipo
 
nina umri wa miaka 73, nimetokea kwenye familia yenye watoto wengi sana , ila cha kuskitisha katika familia yetu ama ukoo wetu kwa ujumla hakuna hata 1 aliyewah kupanda ndege
 
Mkuu baada ya miezi mitatu haiwezi kuwa nyuma ya Dsm na KIA...Lkn kwa mpangi wa muda mrefu,bila shaka utakubaliana na mimi itakuwa nyuma ya hivyo viwanja wakiwa sambamba na ule wa Mwanza.Sina nia ya kumpotosha mtu
 
barafu,

International airport inajengwa miezi mitatu hiyo sio kweli.Tusubr tàarifa rasmi
Huwezi kuwa na International Airport kwa miezi mitatu,lkn ni kweli kuwa "phase" mojawapo ya hatua ya kuwa na uwanja wa aina hiyo unaweza kukamilika kwa miezi hiyo.

Kumbuka hatua za mwanzo za Uwanja huu umeanza toka mwezi September...Hivyo hadi April itakuwa ni miezi karibu 07.

Mkuu Ngapulila kumi huanza na moja,na kuuzindua sio kuwa ndio utakuwa umekamilika..Hatua nyingine za kuuboresha zitaendelea.Asante
 
Mkuu hayo ya economics baadaye!! Ila naona walau arusha mnajengewa six ways... .tazara mnajengewa flai ova...

sasa wacha tukuze nanusafiri wa ndani...heko kwa magufurii...namwomba akajenge na bukoba international airport pale onukajunguti maana watu wa pwani hawajui watu wa mpakani wanavo teseka na usafiri.

Heko kwa magufuri.
Wakola waitu. Owawe kachumita naiwe olelembya. Kasinge. Mweite.
 
Uwanja umeshajengwa, mvimbe mpasuke mtajijua wenyewe.

Watetea mafisadi na wabaguzi wakubwa nyinyi( malofa)
Aiseee ungekua angalau na akili ya kumbu kumbu hata asilimia moja usingethubutu kumuita barafu hilo jina kama ni mtetea mafisadi!
Jaribu kuangalia thread za nyuma za huyu mtu!
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Mkuu Eudorite na Kipigi ni bahati mbaya tunataka kuupeleka mjadala kwenye hoja za "Ukada" na "Ukanda"...Hebu tubaki njia kuu

Miaka ile wakati Edward ni Waziri Mkuu,aliipigia sana chapuo ule mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege pale Mugumu,lkn watu wa ikolojia wakaupinga,na ktk kuupinga walisema Edward anataka uwanja huo sababu ana hotel yake ndani ya Mbuga na karibu na kiwanja hicho.

Sasa leo tena wengine mnasema watu wa "kaska" walipinga ujenzi wa uwanja ili usiwe shindani na KIA?
 

Mimi sikubaliani na wewe kabisa. Inawezekana unatoka Chato na una akili mgando kama ndugu yako. Huwezi kufikiria kujenga uwanja wa ndege wenye kiwango cha 4D Chato labda uwe mwandawazimu. Kwa mtu makini huwezi kuwaza hivyo, after all Chato sio makao makuu ya Mkoa wa Geita ili angalau upate sababu ya kujenga viwanja vya ndege kila mkoa tukianzia na Chato. Chato ni kijiji tu sawa na vijiji vingine. Hivi ndege inaenda kutua Chato kutafuta nini?

Mtu kufanya maamuzi kama hayo lazima awe na akili kama za Paul Kagame wa Rwanda au za Nkurunziza wa Burundi otherwise huwezi, ni aibu na inatia kinyaa.
 
Wacha kubabaisha watu bwana. Unahisi wale wanao kwenda mleba au biharamuro ama geita ama katoro ama kahama watalazimika kutumia mabasi..

Usisemehe mifuko yavwenzio kama Nina hela wenzako wanazo. Na habari ya viwanda na hayo mengine yatakuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…