Hatimaye Christiano Ronaldo afikisha wafuasi million 501 katika ukurasa wake wa Instagram

Hatimaye Christiano Ronaldo afikisha wafuasi million 501 katika ukurasa wake wa Instagram

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Lisaa limoja baada ya Klabu ya Manchester United ya Uingereza kutangaza kuvunja mkataba na CR7, mwanasoka huyu amekuwa maarufu maradufu. Hivi Sasa amefikisha wafuasi million 501 katika ukurasa wake wa kijamii wa Instagram.

Itakumbukwa ukurasa wa Klabu ya mpira ya Manchester ulipata wafuasi wengi mara baada ya kutangaza kumsajili Cr7 na kufikisha wafuasi million 61. Hivi Sasa kuna kampeni kubwa sana ya wafuasi hao kutaka kujitoa kwenye kurasa za kilabu hicho.

Ni wazi Cristiano Ronaldo anatengeneza pesa nyingi sana kupitia matangazo yanayowekwa kwenye kurasa zake, lakini inasemekana uwezo wake wa uchezaji umeshuka kwa sasa.

Je, unafikiri ni kwa sababu gani uwezo wa uchezaji wa Cr7 umepungua? Je, umri unaweza kuwa kisababishi?

Toa maoni yako hapo chini kistaarabu.

1669144075324.png

Karibu katari na tibisii.
 
Ngoja tuone inakuwaje lakini Napoli most likely zaidi hawatajali public smear inayomkumba, Kwanza anabeba Kombe la Dunia hili la Qatar kibabe Portugal anabeba ndoo
Bayern Munich washaongea na manager wake, km ilivyotokea kwa Mane na Mane si unaona anacheza wapi?
 
Hawa ndio wanafaidika na freemason sio nyie wengine unajiunga freemason unaua na watu wa karibu unaishia kumiliki hiace tatu, guest mbili na nyumba moja ya kuishi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mafanikio ni juhudi, maarifa, ubunifu, kujaribu kutafuta fursa mpya, bidii ya kazi, mengine ni kudanganyana tu
 
Lisaa limoja baada ya Klabu ya Manchester United ya Uingereza kutangaza kuvunja mkataba na CR7, mwanasoka huyu amekuwa maarufu maradufu. Hivi Sasa amefikisha wafuasi million 501 katika ukurasa wake wa kijamii wa Instagram.
Halafu mimi Simo, dah..... kweli mimi ni bidhaa adimu sana
 
Back
Top Bottom