Kuna taarifa zinasema anarudi real Madrid, ni kweli?!!!
Vitu alivyofanya hyu jamaa ni vkubwa Sana..yoyote mwenye kumbeza hakika hakubaliani na karama ambazo Mungu huwapa watu wake...Sasa saivi tumeacha kumjadili kama mchezaji tumeanza kumjadili kama model wa insta.
Mwenzake Messi baso tunamjadili kama mchezaji
Hawa wanaoteswa na Ghana muda huu? 19:34?Kabisa Portugal ndio bingwa wa Kombe la Dunia huko Qatar
Team messi mna wivuHahahah huyu soka lake ndo limekufa, labda aende uarabuni au uchinani
Muda utasema....huyu labda aende simba ila ulaya hakuna timu kubwa ya kumchukua.T
Team messi mna wivu
Mkuu, iko hivi. Asilimia 100%,mafanikio au kutokufanikiwa kwa mtu msingi wake ni ulimwengu wa Roho. So ukiona mtu kafanikiwa ujue kuna ulimwengu wa Roho (Mungu au miungu) imemsaidia regardless your hustle, hard-working or your PhD.Mkuu bado unaamini kuwa freemasonry wanakupa utajiri?
We wamekupa nini mkuu?Hawa ndio wanafaidika na freemason sio nyie wengine unajiunga freemason unaua na watu wa karibu unaishia kumiliki hiace tatu, guest mbili na nyumba moja ya kuishi😁😁😁😁