AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Degrees and Diplomas ....chuo kikuu cha bukoba sasa kipo tayari kupokea watu katika kada tofauti tofauti.chuo hicho ambacho kimeweka kozi za kutosha kukabiliana na uhaba wa vyuo ukitofautisha na shule za sekondary na wanafunzi wenye uhitaj wa kusoma elimu ya juu....wadau ni mda sasa kubadili mazingira kwenda kusoma mkoa wa wahaya
Reply to Topic

Reply


