Hatimaye Comedian Masanja Mkandamizaji auaga ukapera

Kitisho cha kuchapiwa kinamnyemelea (sio kwa sababu ya uzuri wa my wife wake)
 
Chama cha mabachela....kinamtakia kila la kheri kwenye maisha yake mapya.........
Ila mkuu siku hizi mtu kuihama hii taasisi ujitoe ufahamu kweli kweli...maana vijana wakija humu wakilalamika ooh mke wangu simuelewi,mara nanyimwa penzi mwengine utasikia nimemfumania mke wangu na stuff mwenzake alimrad ndoa zimekuwa vurugu.
 
Ila mkuu siku hizi mtu kuihama hii taasisi ujitoe ufahamu kweli kweli...maana vijana wakija humu wakilalamika ooh mke wangu simuelewi,mara nanyimwa penzi mwengine utasikia nimemfumania mke wangu na stuff mwenzake alimrad ndoa zimekuwa vurugu.

Yaani mimi kila likija wazo la kuoa....moyo unakufa ganzi.....mpaka nazeeka sasa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…