Hatimaye Comedian Masanja Mkandamizaji auaga ukapera

Na kila siku namuomba Mungu aniepushie jambo hilo....kama anavyoniepusha na mabalaa mengine....AMEN.....
Be honest at least to your self. Weka na ile sababu unayoijua peke yako ya kutooa. Maana ni muda sasa unajaribu kuji convince kwanini huwezi kuoa.
 
hahaaa!eti akuepushe na balaa hilo!
ndoa sio balaa no Neema

Neema ipi inayopatikana kwenye ndoa za nyakati hizi......
Ndoa zenye neema ziliisha nyakati hizo ambapo wanawake walikuwa wanampenda mwanaume kwa jinsi alivyo na sio kwa kilichopo mfukoni mwake.......

Punda anapendwa kwa umahiri wake wa kubeba mizigo.....
 
Be honest at least to your self. Weka na ile sababu unayoijua peke yako ya kutooa. Maana ni muda sasa unajaribu kuji convince kwanini huwezi kuoa.

Unadhani ni sababu gani watu wameamua kutokuoa....!!???
 
Napinga sana tu usemayo wapo waaminifu kila siku!!
Ila were kwa sababu una negative attitude huwezi waona waaminifu na wenye mapenzi ya kweli
 
Napinga sana tu usemayo wapo waaminifu kila siku!!
Ila were kwa sababu una negative attitude huwezi waona waaminifu na wenye mapenzi ya kweli

Niletee mmoja ambaye wewe unamuona anafaa kwa vipimo vyako....na mimi nitamuoa.....

One in a billion
 
Mkuu mimi nimeshaamua kuishi maisha ya kiseja.....ni mazuri ajabu.......muda mwingi nautumia kusoma vitabu kujiongezea maarifa.....
Nadhani bado unayo nafasi ya kuamua tena kwani wakati ni mponyaji mkubwa hakuna mwanamume anae ridhia haya mambo yanatotokea kila kukicha mara picha za utupu wa bibi harusi mara mtu kabambikiwa watoto mara eeh!
Lakini haileti khitimisho kuwa tusioe mtu ambae hajakwama ni yule ambae hakujaribu sasa mzee mwenzangu jaribu ukikwama utujuze ninaandika haya kwa nia njema tu.
 

Noted with thank....but its too late
 
Mmmhhh!!! Aisee!! Mkuu aliyekulisha sumu hizi ni mtu hatar sana .. Ndoa zingekuwa kama unavyofikiria ww mpaka sasa usingeziona mitaani.

Umeenda mbali sana kifikra lakn kumbe ndoa haziko hvyo
 
Mmmhhh!!! Aisee!! Mkuu aliyekulisha sumu hizi ni mtu hatar sana .. Ndoa zingekuwa kama unavyofikiria ww mpaka sasa usingeziona mitaani.

Umeenda mbali sana kifikra lakn kumbe ndoa haziko hvyo

Wengi wanavumilia kuwepo kwenye ndoa...lakini hawafurahii kuwepo kwenye ndoa.....
Wachache waliokosa uvumilivu ndio tunasikia wametelekeza familia na wengine wanaburuzana mahakamani kudaiana taraka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…