Hatimaye Davido amfollow KingKiba Instagram


My dia... Kumbe kiongozi wa nchi Tajiri na yenye nguvu zaidi ulinwenguni ana hadhi sawa na davido!!
 

Mliwahi kutuambia kuwa kiba hahitaji wanigeria kufanikiwa katika Muziki wake, kwa sababu yeye ni King hahitaji collabo... Leo mnakula maneno yenu
 
My dia... Kumbe kiongozi wa nchi Tajiri na yenye nguvu zaidi ulinwenguni ana hadhi sawa na davido!!
Jamvi lina viroja hili but I can understand mashabiki wa Kiba... huwa wanapata furaha za msimu mithili ya mvua za vuli!! Wangepata ahueni kwenye nomination za AFRIMMA lakini wanajikuta wametandikwa 6-1!! Waliwahi kufurahia Kiba kupiga live utafikiri yeye ndo mwana bongo flavor wa kwanza kupiga live... mbaya zaidi, wakati huyo Davido anam-follow Kiba leo, wasanii wengine wa bongo flavor keshawa-follow long time!!!
 
nashindwa kuelewa kwanini mashabiki wa kiba mlikua mnamlinganisha diamond na kiba wakati mkijua fika kwamba ni ndoto na kazi ya ziada kwa kiba kumfikia diamond hapa namanisha mafanikio. Leo inajidhihirisha kua mlikua mnajipa moyo kwenye hamna kwa nyinyi kusherekea vitu vya kijinga kama hivi na kuviona vikubwa.

Na bado kwani lazima mjue tofauti ya msalaba na jumlisha au X na kuzidisha teh teh
 
We elimu yako ni ipi? na imekusaidia nini? kushinda jf? wasomi wenzako wapo buys kutengeneza ma virus na ma ant-virus

punguan wa hed FaizaFoxy voice

Kama unadhani usomi ni kutengeneza virus na antivirus basi pole sana na hilo ni tatizo kubwa .

Kwa taarifa yako JF kuna wasomi wa kada mbalimbali .

Kushinda JF sio ishu sana coz Kuna wengine wapo hapa kikazi zaidi(sugua ubongo).

Narudia tena usipende" ushabiki asha ngedere" .

Sifia panapofaa kusifia na kosoa panapostahili kukosoa.

Punguza mihemko bamdogo.

Nina sub machine gun 56 Leo tunaenda nyumbani kwa nani?...,.

Hahaahh
 
Last edited by a moderator:
+hili nalo la kusherehekea, aibu gani hii 🙈🙈🙈🙊🙊🙊

Yessssss haaaahaaa msimdharau mtu aliyewatoa kimataifa bana. Hata mtu kama huyo au obama akinifolo uwiiiiiiii, nitawehuka
 
ningekua davido ikipita siku 3 bila follow back na unfollow kisha block!
 
We elimu yako ni ipi? na imekusaidia nini? kushinda jf? wasomi wenzako wapo buys kutengeneza ma virus na ma ant-virus

punguan wa hed FaizaFoxy voice
Hahahaaaaa, Umemaliza yote mkuu.
 
Last edited by a moderator:
diamond atakuwa anatetemeka,tusubiri kolabo ambayo itavunja record ya africa kwa mauzo,singo moja watu wanaenda likizo miezi sita
 
Hahaaaaaa kum follow napo watu wameumia aisee ushabiki mwingine bwana unaendaga extra miles na sio kila kitu utakipondea.
Watu wana majanga#SelfishIdeasPretendingToBePatriotic.
Ndo hvo hamna jinsi OBO kasha mu follow kiba.
 
Hahaaaa collabo itamfanya akose raha yeye na timu yake
Sio itawafanya, imeshawanyong'onyesha tayari.
Hizi zile kelele zao humu unaziona tena? Watu tuliiiiii kama wamemwagiwa maji.
Wengine wanajikaza tu basi wanachoandika humu ni wendawazimu mtupu....
Wajuzi wa mambo tumeshajua tatizo liko wapi (collabo ya King & Davido)
 
Wamelegea nyang'anyang'a in kibas voice. Hawa hawa wanajidai kulia lia wanataka wasanii wengi wajulikane ila kimoyoni moyoni ni #Selfish wa nguvu, Mara uzalendo,Mara chuki kumbe wao ndo inaongoza kwa roho mbaya hadi shetani ana washangaa.
La mtu wao ni jema kwa wengine ni nogwa.Wataisoma number kiba mbele kwa mbele.
Na kifesi alishasema timu nzima huanza kukosa raha hadi kulia lia ndo mana hupaniki.
Jotroooo la collabo bayaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…