[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Diamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]kwa diamond watashindana lakini hawatashinda
Acha tu yaani wabongo sieBra ikikaa upande tu kule insta central!!!!
Minor thingsyani nini tena mamii
@heaven sent anakutafutaYaani
Where is she?!!!!!@heaven sent anakutafuta
Yupo harusini, cheki tags utamuona.Where is she?!!!!!
Nasikia you are in love binamu, kanambia espy[emoji13] [emoji13] [emoji13]Where is she?!!!!!
Haha mbona harusiniYupo harusini, cheki tags utamuona.
Binamu; kupenda na kupendwa rahaaa, ikabidi tu nikutafute.Ndo kilichofanya unitafute?!!hahaaaaa loohhh!
Miss uu
Hii post imeandikwa kimajungumajungu eti nimeambiwa kiba kaoa leo!!!!!!! Kwa wazee wa kiswahil wanaelewa hapoKupitia ukurasa wake wa instagram diamond platnumz amemtakia Ali kiba Ndoa njema yenye baraka na furaha Tele!
Kitu ambacho watu wengi hawakutegemea lakini diamond kakifanya hakika kweli Sanaa Imezaliwa Upya!
Nini mtazamo wako
View attachment 750260
Hahaaa!not yet my luvBinamu; kupenda na kupendwa rahaaa, ikabidi tu nikutafute.
Missing you too
Binamu nipo, uhenga tu mweehHahaaa!not yet my luv
Ulikua wapi?!!!!my dearrrr
Espy mbea tuuuuu!!mfyuu zake
Umepotea kwelii loohhhBinamu nipo, uhenga tu mweeh
Nimeamua kurudi nowUmepotea kwelii loohhh
Karibu tena my switieee!uwepo wako ni muhimu mnooooNimeamua kurudi now